Ngoja nisikilize unachosikiliza..🎶🎶 ile mito milima tuliyopita uliona, nikavumilia nikang'ang'ana si unaona,,, waambiee siongezi Neno nishaweka nukta waujue nilitulia sikukurupuka,,,
nikumbate kama mtoto, ntadeka×2🔥
huu wimbo sijawahi kuuchoka jamni naupenda mnoNgoja nisikilize unachosikiliza..
View attachment 3546750
Mzuri, una ujumbe mzuri...huu wimbo sijawahi kuuchoka jamni naupenda mno
hakika,,Mzuri, una ujumbe mzuri...
🎶🎶 umenivunja vunja viungo vya mwili kwako niko hoi taabani, ndumba ndumba zimekithiri mambo doi doi taabani,,, nilaze kifuani mwako nikihema taratibu.... ila Mbosso🙌,,
100 others huu unaupata?
🤔 Hizi playlist nani kakufundisha..hellow my love are you okay, helow my love mi sijui najisikiaje🎵🎼 humu tu💃
ewaaa usiku unakua murua kabisa🥰View attachment 3546753
Tanasha , La Vie ft Mbosso.
jamani😁,, zimefanyaje kwanza ni mbaya au🤔 Hizi playlist nani kakufundisha..
Hapana ni nzuri, Zinanipa mashaka kinachoendelea huko... 🤔jamani😁,, zimefanyaje kwanza ni mbaya au
noo usiwe na mashaka kabisa,, everything is gudooo😘",,,Hapana ni nzuri, Zinanipa mashaka kinachoendelea huko... 🤔
Nipe nyingine nzuri... Ya kulalia...noo usiwe na mashaka kabisa,, everything is gudooo😘",,,
Aiseee"hata kama wakisema una machafu mengi siyaoni nimekwama Shimo la mapenzi,, mi kwako nishatulizana kung'ooka siwezi,, Nyoyo zetu zimeshikamana baba umeziba ufa kasoro zetu twavumiliana 100 others 🥰
mimi ni kuku wako ukitaka mayai niyatage semaa na ukiona na ujingaa we nistiri usinibwage,, sina matamanio nishavukaga huko sitolivua vazi la heshima ulonivika kwa upendo,,, umenijaza upendo mpka unanitiririka🥳🎶😘Nipe nyingine nzuri... Ya kulalia...