GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,071
- 16,383
MamboAmbao hawajalala wapo single
MamboAmbao hawajalala wapo single
Daah pumzika tuu pia hata voda nao mtandao una zingua may b ni huku nilipo au![]()
![]()
Hichi ndo kinanitokea jf leo acha nilale 2
Nawe pia mkuu, niliua betrii, so nimepunguza kuwa popo, now mara nyingi nipo kwenye kujadili madaHeri ya krismasi broh naona kimya sana
Hivi upo kweli weweNawe pia mkuu, niliua betrii, so nimepunguza kuwa popo, now mara nyingi nipo kwenye kujadili mada
DominikaNafunga geti...muende kansani
Ukatubu makosa yako yote ya 2017Mida ya kujongea meza ya bwana
Nipo Sakayo' nsa. Hujambo mdogo?Hivi upo kweli wewe
hapa masopie sopie elixer!Hii kiwanda mbona kama ile ya mambo yetu alafu masikia harufu ya ngano hapo
Sijambo mimiNipo Sakayo' nsa. Hujambo mdogo?
Nipo Sakayo' nsa. Hujambo mdogo?
Sijambo mimi
Na ww utakua unaota sahz hzo msg ulizoziquote za tangia saa 12... mbili za mwisho ndo za mda huuSio usiku saa hizi
Tunapiga tu stori za nje ya muda, kwani imekatazwa?Ntawapa fine nyiee huu sio mda maeneo hayaaa
