JamiiForums Usiku wa manane

Mastory ya bey​


Kuna jamaa mmoja wakiwa mbele ya umati wa watu kwenye kikao kidogo,alimsimamisha dada mmoja kisha akamwambia nataka katika watu uwaangalie je wanafikiria nini kuhusu wewe?

Dada akampoint mtu wa kwanza akasema huyu ana ananitathimini jinsi nilivyovaa,alipoulizwa yule mtu,je huyu yupo sahihi ndio ulivyokuwa unawaza akasema hapana

Dada akampoint mkaka mmoja ambaye alikuwa anamuangalia kwa makini sana,akaulizwa je unadhani huyu anawaza nini kuhusu wewe,yule Dada akasema huyu kaka ananijaji muonekano wangu,alipoulizwa yule je ni kweli ulikuwa unajaji muonekano wa huyu dada akasema,akajibu hapana nipo najiwazia mambo yangu mwenyewe

Huu ndio mfano halisi wa maisha yetu ya kila siku,wakati mwingine huwa tunahofia watu wengine huwa wanawaza nini kuhusu sisi au je wanatuonaje kwa yale tunayoyafanya,lakini kiukweli huwa hawana hata time na sisi kabisa,wao wako busy na mambo yao,ila sisi ndio huwa tunajishtukia tu

Wakati mwingine tunashindwa kufanya mambo yenye tija kwetu binafsi kwa kuhofia watu watatuonaje au watatufikiriaje

Mtu msomi anashindwa kujichanganya na kufanya kazi ambazo zinaweza kumuingizia walau kipato hata kidogo huku akisubiria dili kubwa,anaacha kufanya kwa kuhofia eti watu watamuonaje na usomi wake halafu afanye kazi za watu wa chini

My people hakuna anaye hangaishwa na mambo yako,no body cares ishi maisha yako na fanya mambo yako kikubwa havunji haki za wengine

Habari za jioni wadau wa Mastory ya Bey hope mko gud! Leo nimewasilimia kizaramo,maana wazaramo wakikutana wanapiga mastory kwanza halafu baadae ndio wanasalimiana nami nimepiga mastory halafu nimewasalimia,unajua nini maisha ni rahisi sana usikariri

Bey
 

Quotes of the day​




🧘‍♂️ 1. "Mind your own business. What other people think of you is none of your business."
— Jack Canfield

💭 2. "The biggest fool is the one who minds the business of others rather than minding his own."
— Amit Abraham

🛑 3. "Don't worry about what I'm doing. Worry about why you're worried about what I'm doing."
— Unknown

🌿 4. "If everybody minded their own business, the world would go around a great deal faster than it does."
— Lewis Carroll, Alice in Wonderland

🕊️ 5. "Minding your own business is a full-time job. Don’t hand out applications."
— Unknown
 

Ujumbe wa Leo​

Ujumbe wa leo:

"Maisha ni safari yenye milima na mabonde. Usikate tamaa unapokutana na changamoto, kwani kila jaribu linafunza, na kila giza lina mwisho wake. Endelea kusonga mbele – hata hatua ndogo ni maendeleo."

🌱 Jiamini. Fanya bidii. Amini kesho yako.
 

Leo katika historia​


Hapa kuna baadhi ya matukio muhimu yaliyotokea leo, tarehe 20 Oktoba katika historia:


---

📌 Matukio Mbalimbali

Mnamo mwaka 1803, Seneti ya Marekani ilidhinisha mkataba wa ununuzi wa ardhi wa Louisiana Purchase, hivyo Marekani kuongezeka sana kwa ukubwa.

Mnamo 20 Oktoba 1910, meli kubwa ya kivita na abiria ya RMS Olympic ilizinduliwa Belfast, Uingereza.

Kwa upande wa sanaa na usanifu, siku hii mwaka 1973 ilifunguliwa rasmi nyumba ya sanaa yenye umaarufu duniani, ya Sydney Opera House, Australia.

Pia, mwaka 1947, kikao cha House Un‑American Activities Committee (HUAC) kilianza uchunguzi wa ushawishi wa Kikomunisti ndani ya Hollywood, Marekani.
 

Positive affirmations​


Here are some positive affirmations to start your day with a powerful mindset:


---

🌟 1. "I am worthy of all the success and happiness life has to offer."

🌱 2. "Every challenge I face is an opportunity for growth and learning."

💪 3. "I trust in my abilities and my decisions."

✨ 4. "I am grateful for the abundance in my life and the opportunities before me."

🌞 5. "I choose to focus on what I can control and let go of what I can't."

💖 6. "I radiate confidence, positivity, and love."

🌍 7. "Today, I will take one step closer to my dreams."

💫 8. "I attract only positive energy into my life."
 
Bestie: "leo nikuletee 🍑🍑🍑 ukule?"*
Me: "kwani hizo ni matunda gani?"
 
Back
Top Bottom