Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,225
- 96,111
01:35 when I show up I'm on 10 not 9.
Mimi niko JF hapa nimetoka Tik Tok huko nimezurura weee nimeona nije JF kidogo.Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Enyi kizaz cha TiktokMimi niko JF hapa nimetoka Tik Tok huko nimezurura weee nimeona nije JF kidogo.
😅😅02:38 Kiranga you good?
Bado Usingizi umegoma kabisaMida ya wanga imesha isha?
Hii ni hatari ki afya.Bado Usingizi umegoma kabisa
I'm good son, juice world over here.01:35 when I show up I'm on 10 not 9.
I do things in my wayErtugrul Bey kaka saivi ndo ulitakiwa uanze kuingia lindoni sio hiyo saa 4
✌