Shyshka Reinhardt
JF-Expert Member
- Jul 15, 2024
- 1,286
- 2,303
Nunua router huwezi kosa 110k/= kwa mweziJf na whatsapp tu siku mbili sitoboi 1gb hapo ni cha wiki nmejiunga, nikiingia insta tu ni hapo hapo shwaaaaa
Nunua router huwezi kosa 110k/= kwa mweziJf na whatsapp tu siku mbili sitoboi 1gb hapo ni cha wiki nmejiunga, nikiingia insta tu ni hapo hapo shwaaaaa
Ya mtandao gani sio net uhakikaNunua router huwezi kosa 110k/= kwa mwezi
Vodacom au AirtelYa mtandao gani sio net uhakika
Sawa ila nasisitiza Nikifa MkeWangu Asiolewe
Ndio kwangu huko sema huwa nikirudi nakaa hazizidi wiki mbili na sepa hata zaidi ya miezi 3Fanya urudi mkuu,hata kwa weekend mojamoja
Hatuna shida na mkeo, sisi tunasaidia wajane, hatuwezi kuacha watesekeSawa ila nasisitiza Nikifa MkeWangu Asiolewe
Zingatia mkuu, uzuri hatujuaniHatuna shida na mkeo, sisi tunasaidia wajane, hatuwezi kuacha wateseke
Ungekuja huku nilipo ungefurahi sana yaani ni uganda vijijini kabisa porini mtandao hakuna ni wifi tunatumia, umeme ukikata hakuna mawasiliano.Mi nmechoka kwakweli nahitaji kwenda mahali patulivu kama siku tatu hivi sitaki milio ya magari wala kelele ni miti na ndege tu
Akili yangu imechoka
Ooohhhh kweli ndio mazingira natamani kwa sasaUngekuja huku nilipo ungefurahi sana yaani ni uganda vijijini kabisa porini mtandao hakuna ni wifi tunatumia, umeme ukikata hakuna mawasiliano.
Yaani niko middle of no where
Nimekuona humu 😂Zingatia mkuu, uzuri hatujuani
Evelyn hujalala au shemeji kasafiri dear huu ni usiku wa mananeOoohhhh kweli ndio mazingira natamani kwa sasa
Hali ya kisiasa hairuhusu kulala bro, ukilala tu gen z (kenge wa nje) wananyooka na wewe 😁Evelyn hujalala au shemeji kasafiri dear huu ni usiku wa manane
Hahahahaha! Shida ya Wadanganyika kila mtu mwanasiasa au mtetezi wa mama wewe uko upande upi?Hali ya kisiasa hairuhusu kulala bro, ukilala tu gen z (kenge wa nje) wananyooka na wewe 😁
02:51 am
Mi raia mpenda hakiHahahahaha! Shida ya Wadanganyika kila mtu mwanasiasa au mtetezi wa mama wewe uko upande upi?