JamiiForums Usiku wa manane
Mi nmechoka kwakweli nahitaji kwenda mahali patulivu kama siku tatu hivi sitaki milio ya magari wala kelele ni miti na ndege tu

Akili yangu imechoka
Ungekuja huku nilipo ungefurahi sana yaani ni uganda vijijini kabisa porini mtandao hakuna ni wifi tunatumia, umeme ukikata hakuna mawasiliano.
Yaani niko middle of no where
 
Ungekuja huku nilipo ungefurahi sana yaani ni uganda vijijini kabisa porini mtandao hakuna ni wifi tunatumia, umeme ukikata hakuna mawasiliano.
Yaani niko middle of no where
Ooohhhh kweli ndio mazingira natamani kwa sasa
 
Back
Top Bottom