Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,321
Kuna ushuhuda unaenda kutoa??Ngoja kwanza niende kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara kwanza, nione kama kuna raia😁
Kuna ushuhuda unaenda kutoa??Ngoja kwanza niende kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara kwanza, nione kama kuna raia😁
Matajiri huwa hatulali 😂😂 tunakesha tunalinda mali zetu broUna hatari sana mkuu,enhe kwanza tusimulie kwanini bado hujalala?
Sijui hata naenda kufanya nini 😂Kuna ushuhuda unaenda kutoa??
Peleka ushuhuda urudi huku utatukuta.....Sijui hata naenda kufanya nini 😂
Aisee, hongera sana.Mi binafsi Sina la kuhofia..nikiamua nalala nikiamua naamkaMatajiri huwa hatulali 😂😂 tunakesha tunalinda mali zetu bro
Kwani nyie hamna InstagramPeleka ushuhuda urudi huku utatukuta.....
Unapata wapi nguvu za kulala 😁 tafuta hela mkuuAisee, hongera sana.Mi binafsi Sina la kuhofia..nikiamua nalala nikiamua naamka
Kitu linatafuna bando, mie hapana insta na tik tok vimenishindaKwani nyie hamna Instagram
Nasubiri kukuche,hii ya kuteseka night nimeshindwa mkuuUnapata wapi nguvu za kulala 😁 tafuta hela mkuu
Unateseka na nini?Nasubiri kukuche,hii ya kuteseka night nimeshindwa mkuu
Jambo Akthoo team member02:28 Hrs EAT
Jambo Jamii team
Kuna Id za kike zinapandisha nyege hatari, anyway kwa walioko kanda ya ziwa mvua za maana zimepiga hasa mashariki.
Kitu linatafuna bando, mie hapana insta na tik tok vimenishinda
Jf na whatsapp tu siku mbili sitoboi 1gb hapo ni cha wiki nmejiunga, nikiingia insta tu ni hapo hapo shwaaaaa
Kenge wa nje??? 😂😂😂😂02:30 3+ GMT Nairobi
Kuchoma mahindi usiku,mi ikifika saa 2 nalala sitaki tabu kabisaUnateseka na nini?