JamiiForums Usiku wa manane
Kuna Id za kike zinapandisha nyege hatari, anyway kwa walioko kanda ya ziwa mvua za maana zimepiga hasa mashariki.
IMG_20250523_231707.jpg
 
02:30 3+ GMT Nairobi

Tuna siku 3 toka tumeachana,
yaani juzi kuamkia jana, yaani hata wiki haijapita,
kinachonisikitisha tayari ameshapata bwana,
halafu hawazii, haoneshi dalili ya machoziii...
 
Back
Top Bottom