Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,129
Wakuu nimejigonga kwa goti aiseee aiseee ewakuu ile hali daaah yaan mda huu huu nimetokwa na jasho kabisa sio kwa haya maumivu jamni
Pole sana, ulikuwa unafanyanini usiku wote huu?Wakuu nimejigonga kwa goti aiseee aiseee ewakuu ile hali daaah yaan mda huu huu nimetokwa na jasho kabisa sio kwa haya maumivu jamni
Tatizo la kupata usingizi (insomnia) ni hali ambapo mtu anapata shida kulala au kubaki usingizini, hata anapokuwa na nafasi na mazingira mazuri ya kulala. Tatizo hili linaweza kuwa la muda mfupi (kama siku chache hadi wiki kadhaa) au la muda mrefu (zaidi ya mwezi).Swala la kupata usingizi linazidi kua changamoto kadri siku zinavyosonga
Kuna dawa/tiba/suluhisho la hili tatizo wakuu?View attachment 3336567
okMy people my team kama kawa mida ya saa tisa flan hv kuelekea kumi
See you....
🎺03:17 I mean no malice to nobody