Ndugu yangu!Mazungumzo ya Usiku
KILA MTU ANATAKA KUWA SHUJAA
Tekinolojia imetatua changamoto ya uchumi lakini imeleta shida kubwa sana na mvurugano katika jamii yetu katika zama hizi
Wale ambao hufanya mambo ambayo sio ya kawaida au ambayo yamepita kawaida ndio huwa mashujaa katika television,magazeti na mitandao ya kijamii,hao ndio hutrend na kuwa sehemu ya habar ya mjini
Tekinolojia inatufanya wote sasa tutake kutrend walau nasi tupate majina hapa mjini na hivyo kutuvuruga na kutufanya tupagawe,mfano kuna ambao wanaoga barabarani na kushoot clip zao na kweli wanatrend,kuna ambao huko ughaibuni wanaenda mashuleni na kuwapiga risasi wanafunzi risasi na wanatrend,na mambo kadha wa kadha
Kwahiyo kila mtu anapambana atoke vipi,saa nyingine tunafanya mambo hata ya kututoa utu wetu kwa jina la tekinoloji ili mradi tuwe vioral mitandaoni,na wakati mwengine tunaandika topic au nyuzi ambazo ni kichefu chefu kwakuwa tunajua ndio zinashika akili za watu basi tunaishi nazo,yaani ni kuvurugwa kwa kwenda mbele
Kwahiyo kwa kiasi fulani ingawa tekinolojia imeleta unafuu na wepesi wa mambo mengi lkn inatuvuruga sana,kwasababu tunajali sana baadhi ya mambo ili nasi tutrend
Kibaya zaidi tunajenga jamii ya kutaka kufanya mambo makubwa na ya kipekee kana kwamba maisha ndio yamepangwa kuwa hivyo,yani bila kufanya mambo ambayo sio ya kawaida inakuwa kama hatuiishi vile
Hao ambao wamefanya mambo makubwa na wanaendelea kufanya,walifanya kwa kujiendeleza na kuwa bora zaidi kwakuwa walifanya si kwa kuwa impress watu ila kwa kutaka kupata matokeo bora zaidi
Ila sisi kinyume chake tunataka greatness out of no where,hatuna misingi ya kutufikisha huko ila tunafanya chochote ili mradi nami Etugrul bey nitrend hapa town
Tumekuwa na jamii ambayo haiamini katika average ila katika extraodinary,yani tukiwa wa kawaida bado hatujaishi ila tukiwa zaidi ya kawaida ndio tunaishi,haya ni majanga
Kwa staili hii kwanini tusiwe na stress? Kwanini tusiwe hatuna furaha,kwanini tusiwe na misongo ya mawazo
Unajua kwanini inakuwa hivi?
Kwasababu tunajali sana hata kwa mambo ambayo hayana ulazima
Mlinzi wa zamu!
Balaa kabisa Mzee wangu03:45 I mean no malice to nobody
02:56 napokea lindo sasa na mie baada ya jogoo kuwika0008
Lindo limefunguliwa,kila mlinzi achukue position yake
😅💯💯💯Mazungumzo ya Usiku
KILA MTU ANATAKA KUWA SHUJAA
Tekinolojia imetatua changamoto ya uchumi lakini imeleta shida kubwa sana na mvurugano katika jamii yetu katika zama hizi
Wale ambao hufanya mambo ambayo sio ya kawaida au ambayo yamepita kawaida ndio huwa mashujaa katika television,magazeti na mitandao ya kijamii,hao ndio hutrend na kuwa sehemu ya habar ya mjini
Tekinolojia inatufanya wote sasa tutake kutrend walau nasi tupate majina hapa mjini na hivyo kutuvuruga na kutufanya tupagawe,mfano kuna ambao wanaoga barabarani na kushoot clip zao na kweli wanatrend,kuna ambao huko ughaibuni wanaenda mashuleni na kuwapiga risasi wanafunzi risasi na wanatrend,na mambo kadha wa kadha
Kwahiyo kila mtu anapambana atoke vipi,saa nyingine tunafanya mambo hata ya kututoa utu wetu kwa jina la tekinoloji ili mradi tuwe vioral mitandaoni,na wakati mwengine tunaandika topic au nyuzi ambazo ni kichefu chefu kwakuwa tunajua ndio zinashika akili za watu basi tunaishi nazo,yaani ni kuvurugwa kwa kwenda mbele
Kwahiyo kwa kiasi fulani ingawa tekinolojia imeleta unafuu na wepesi wa mambo mengi lkn inatuvuruga sana,kwasababu tunajali sana baadhi ya mambo ili nasi tutrend
Kibaya zaidi tunajenga jamii ya kutaka kufanya mambo makubwa na ya kipekee kana kwamba maisha ndio yamepangwa kuwa hivyo,yani bila kufanya mambo ambayo sio ya kawaida inakuwa kama hatuiishi vile
Hao ambao wamefanya mambo makubwa na wanaendelea kufanya,walifanya kwa kujiendeleza na kuwa bora zaidi kwakuwa walifanya si kwa kuwa impress watu ila kwa kutaka kupata matokeo bora zaidi
Ila sisi kinyume chake tunataka greatness out of no where,hatuna misingi ya kutufikisha huko ila tunafanya chochote ili mradi nami Etugrul bey nitrend hapa town
Tumekuwa na jamii ambayo haiamini katika average ila katika extraodinary,yani tukiwa wa kawaida bado hatujaishi ila tukiwa zaidi ya kawaida ndio tunaishi,haya ni majanga
Kwa staili hii kwanini tusiwe na stress? Kwanini tusiwe hatuna furaha,kwanini tusiwe na misongo ya mawazo
Unajua kwanini inakuwa hivi?
Kwasababu tunajali sana hata kwa mambo ambayo hayana ulazima
Mlinzi wa zamu!