JamiiForums Usiku wa manane
Ile ya kule Mwanza, yule kaka aliyekuwa anamrekodi mwanamke wake akimng'oa antena kwa kutumia praizi live.
Yaani anakibana na kukivuta mpaka anaking'oa.
Nasisimka aisee.

Mambo ya fumanizi.
Ohhh!
Japo sijaisikia lakini mimi binafsi siwezi kuangalia tukio la ukatili hata mara moja.
Labda igizo , ila tukio la kweli hapana.

Ila ya nini yote hayo kumuumiza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya maslahi yako!

Ubinafsi ni tatizo kubwa mno kwa binadamu.
 
Ohhh!
Japo sijaisikia lakini mimi binafsi siwezi kuangalia tukio la ukatili hata mara moja.
Labda igizo , ila tukio la kweli hapana.

Ila ya nini yote hayo kumuumiza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya maslahi yako!

Ubinafsi ni tatizo kubwa mno kwa binadamu.
Kabisa
 
Back
Top Bottom