Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,365
- 91,920
Kumekucha Laaziz,vp umeamkaje?Kumekucha
Kumekucha Laaziz,vp umeamkaje?Kumekucha
Kwanini uwa haulali02:30 I mean no malice to nobody
Nimeamka salama kipenziKumekucha Laaziz,vp umeamkaje?
What’s so special huko?Heli guys nimereset simu yangu, maiisha bila gb whatsap naona kama Niko jela. Mweenye official link ya kudownload hii kitu anitumie please
Kwangu sahivi ni saa tisa usiku, acha tu niendelee kukoroma😀 6:54Endelea kukoroma🤣🤣
Mi Niko poa tu,sema kiasubuhi hiki nataka mbegu yenye good future ya mtoto....fanya mpango basi loveNimeamka salama kipenzi
Hofu kwako
Usiwaze kipenzi nakusigezea mzigo wa motoooMi Niko poa tu,sema kiasubuhi hiki nataka mbegu yenye good future ya mtoto....fanya mpango basi love
Ikifika saa kumi na 2 huko kwako nishitue nije nikutoe usingiziniKwangu sahivi ni saa tisa usiku, acha tu niendelee kukoroma😀 6:54
Depal sija wahi iangalia, ila kwa reviews za watazamaji ni flop kuanzia season 1-3.Selikavu kuna movie inaitwa Lucifer
Mtu amenirecommendia baada ya kuona naifagilia Bel Air. Ushaicheck? Inatazamika?
Cc Intelligent businessman
Jobless Napata wapi usingizi, au ndo kuni tafutia ubaya kwa landlord 😂🤣Kwanini uwa haulali
Yaani saa 12 ila una ita usiku wa manane!!, Amka uka fagie hata uwanja😆😂Huwa nakoroma ila siyo kama chura bana😀😀 still usiku wa manane huu kwangu 06:44😀
Landlord anapangwa tuJobless Napata wapi usingizi, au ndo kuni tafutia ubaya kwa landlord 😂🤣
Mkwe was land lord ni jaji, we una hisi Kuna theory gani Hawaja wahi sikia😆😂Landlord anapangwa tu
Labda nikupe recommendation ya vyuma vingine.Kama hawamfikii Bel Air sijisumbui kutafuta
I mean no malice to nobodyHujakosea kabisa mzee wa No malice........
Acha kuvizia vizia lindo🤣😂😆
Kuamka ni saa 5 maisha mafupi haya😀Yaani saa 12 ila una ita usiku wa manane!!, Amka uka fagie hata uwanja😆😂
Hii maybe not under my supervision 😂😆.Kuamka ni saa 5 maisha mafupi haya😀