Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,414
- 96,741
Hahaha, nipe na Mimi huo ulinzi mkuu.Hahahahahaha...mie mlinzi tu mkuu hapa naamka naenda zangu beach kupunga upepo niingie lindo
👉 Jobless nione mwanga
Hahaha, nipe na Mimi huo ulinzi mkuu.Hahahahahaha...mie mlinzi tu mkuu hapa naamka naenda zangu beach kupunga upepo niingie lindo
🥴Walinzi
Amkeni
Amkeni
Amkeniii
Tushaamka na sasa tuko Beach tunakula upepo..tukimwagilia moyo ..muda ufike tuingie lindo
Nyie vijana mna mambo mengi ..unaeza pelekwq sehemu ukasema hapafai ..mnataka ACHahaha, nipe na Mimi huo ulinzi mkuu.
👉 Jobless nione mwanga
Mkubwa siko kundi Hilo, hata uki Nipa deal la kuosha maiti naruka nalo.Nyie vijana mna mambo mengi ..unaeza pelekwq sehemu ukasema hapafai ..mnataka AC
Hongera sana mkuu,maisha ni sasa kula bata....tuonane jioni...mi nimejipumzisha kidogoTushaamka na sasa tuko Beach tunakula upepo..tukimwagilia moyo ..muda ufike tuingie lindo
Uko vzr unalala saa hzHongera sana mkuu,maisha ni sasa kula bata....tuonane jioni...mi nimejipumzisha kidogo
Sipo njema sanaUko vzr unalala saa hz
Hahahahaha..mnasemaga tu...nina uzoefu na vijana..Mkubwa siko kundi Hilo, hata uki Nipa deal la kuosha maiti naruka nalo.
PoleSipo njema sana
Mkuu siko kundi hilo, Kama namudu - kwanini niogope ukame..Hahahahaha..mnasemaga tu...nina uzoefu na vijana..
Asante sanaPole
Kila wakatiMungu ni mwema sana
Amina mkuuKila wakati
Safari njema mkuuSaa 12:15
Ndio nakamata chuma Shabiby saa hii Dar - Dodoma