JamiiForums Usiku wa manane
Hakuna Aliyeturoga Bali Tumejiroga Wenyewe Kwa Kubweteka Na Kuridhika Na Hali.
00:15
Nawaza kwa kimya!!, Hivi wakati first world countries ziki tamba kuhusu viwanda na tech.
Sisi tuko wapi??,

Jamaa Wana tengeneza viatu kwa cherehani, sisi hata stick za meno ni kasheshe.
Wana gari za umeme, sisi hata tv Hatuwezi ?;!

Generation iliyo Barikiwa taarifa, ime kalia kutukanana mtandaoni!!
 
Back
Top Bottom