JamiiForums Usiku wa manane
mshamba_hachekwi
FB_IMG_17080064750110678.jpg
 
Na amini Askari shupavu ni lazima upitie Depo’
Vinginevyo ndugu yangu utakuwa’ unapaka rangi upepo.

Ni mtazamo-zamo, Mlinzi usiogope kivuli
Bora ukemee mabaya na usifie mazuri
Ni mtazamo-zamo, Mlinzi’ usikwepe umande
Tresor Mandala
Hahahahaha....ahsante prof jay, majani na ulamaa mmegusa ninapopataka
 
Nami kwenye mtizamo, na Jambo nataka kuweka.
Maana kila kukicha walinzi wanaongezeka
Nasema very nice!
Yes! Ulinzi kama dhehebu
Wingi wa walinzi inaonesha ni dini swafi
Yaani imekubalika’ waumini tuko wengi’
Lakini bado na shaka’ sijapata uhakika
Wote tumesadiki?
Au wengine ni feki’ mmetumwa kama mamluki
Manake wengine Mna lala kama nyoka!! Tresor Mandala
 
Back
Top Bottom