Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,357
- 2,481
Hakuna binadamu yoyote aliyezaliwa kutoka kwenye tumbo la mwanamke akawa ACTIVE MUDA WOTE!!! HAKUNA!!! Tumeumbwa kwa damu na nyama na mifupa!!! There is no way ukawa active 24/7 from January to December!!! Pata muda upumzike.Nature ya kazi zangu zinanihitaji niwe active mda mwingi nisipo pata hata kikombe kimoja cha kawaha kazi inakuwa ngumu zaidi maana akili na mwili vinahitaji kuwa active muda wote