JamiiForums Usiku wa manane
Nature ya kazi zangu zinanihitaji niwe active mda mwingi nisipo pata hata kikombe kimoja cha kawaha kazi inakuwa ngumu zaidi maana akili na mwili vinahitaji kuwa active muda wote
Hakuna binadamu yoyote aliyezaliwa kutoka kwenye tumbo la mwanamke akawa ACTIVE MUDA WOTE!!! HAKUNA!!! Tumeumbwa kwa damu na nyama na mifupa!!! There is no way ukawa active 24/7 from January to December!!! Pata muda upumzike.
 
Hapana ila siwezi kutoboa masaa mengi sometime saa tatu ya usiku inaweza kukuta bado uko kazini na hapo umeingia kuanzia saa moja asbh japo mara chache katika wiki naweza kupata hata siku moja au siku mbili za kuwa free siku nzima kipindi hichi huwa situmii kabisa zaid ya kushinda nimelala tu.
Mkuu mababu zetu Hawa kuteseka, ili tuwe wapumbavu.
👉Yaani huwezi kuwa fit mpaka kahawa??, That's how you have trained your damn mind iwe lame kiasi hicho??

huo ni uraibu tu, figure out una jitoa vipi- naweza kaa hata wiki- nika lala lisaa 1-2 tu.
👉Na masaa mengine nikawa fresh kabisa.
 
Hakuna binadamu yoyote aliyezaliwa kutoka kwenye tumbo la mwanamke akawa ACTIVE MUDA WOTE!!! HAKUNA!!! Tumeumbwa kwa damu na nyama na mifupa!!! There is no way ukawa active 24/7 from January to December!!! Pata muda upumzike.
Hakuna mahali nimesema nafanya kazi masaa 24 jaribu kurudi nyuma utaelewa nimeomba ushauri juu ya nini
 
Mkuu mababu zetu Hawa kuteseka, ili tuwe wapumbavu.
👉Yaani huwezi kuwa fit mpaka kahawa??, That's how you have trained your damn mind iwe lame kiasi hicho??

huo ni uraibubtu, figure out una jitoa vipi- naweza kaa hata wiki- nika lala lisaa 1-2 tu.
👉Na masaa mengine nikawa fresh kabisa.
Kabla sijaanza kuwa natumia kahawa nilijipima nakuona siwezi kutuboa ikifika saa kumikumi akili inakuwa imechoka na ndo unakuta kumekucha bado vipengele vinazid kuongezeka inabid ukimbizane navyo ndo hapo nikajikuta naanza kutumia kahawa ila kwangu naona kinanikataa kuna wengine wakinywa mda wakutoka kazini wanapata usingiz fresh ila mimi ndo kasheshe ndo maana nikaja huku kuomba ushaur kama kuna namna naweza nikafanya zisinilitee athar hizo au kama kuna njia nyingine mbadala unayoona ni safe zaidi unaweza kushauri
 
Kabla sijaanza kuwa natumia kahawa nilijipima nakuona siwezi kutuboa ikifika saa kumikumi akili inakuwa imechoka na ndo unakuta kumekucha bado vipengele vinazid kuongezeka inabid ukimbizane navyo ndo hapo nikajikuta naanza kutumia kahawa ila kwangu naona kinanikataa kuna wengine wakinywa mda wakutoka kazini wanapata usingiz fresh ila mimi ndo kasheshe ndo maana nikaja huku kuomba ushaur kama kuna namna naweza nikafanya zisinilitee athar hizo au kama kuna njia nyingine mbadala unayoona ni safe zaidi unaweza kushauri
Maji na limao au ndimu si una vijua??
 
Na ndomana nikasema kama kuna njia za kupunguza hizo side effect basi nakaribisha ushauri au kama kuna njia nyingine mbadala unaweza kunishauri itakuwa vyema

Na ndomana nikasema kama kuna njia za kupunguza hizo side effect basi nakaribisha ushauri au kama kuna njia nyingine mbadala unaweza kunishauri itakuwa vyema
Au pengine hiyo kahawa unakunywa unaweka nyingi inakuwa too strong? Labda tuambie kwenye kikombe cha kawaida cha 200mls unaweka vijiko vingapi vya ukubwa gani vya kahawa?
 
Au pengine hiyo kahawa unakunywa unaweka nyingi inakuwa too strong? Labda tuambie kwenye kikombe cha kawaida cha 200mls unaweka vijiko vingapi vya ukubwa gani vya kahawa?
Huwa naweka viwili au vitatu vijiko hivi vya chakula, kikombe kidogo cha chai nafikiri ndo hivyo 200 mls
 
Back
Top Bottom