Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,441
04:00 jobless pro max
Kabla sijaanza kuwa natumia kahawa nilijipima nakuona siwezi kutuboa ikifika saa kumikumi akili inakuwa imechoka na ndo unakuta kumekucha bado vipengele vinazid kuongezeka inabid ukimbizane navyo ndo hapo nikajikuta naanza kutumia kahawa ila kwangu naona kinanikataa kuna wengine wakinywa mda wakutoka kazini wanapata usingiz fresh ila mimi ndo kasheshe ndo maana nikaja huku kuomba ushaur kama kuna namna naweza nikafanya zisinilitee athar hizo au kama kuna njia nyingine mbadala unayoona ni safe zaidi unaweza kushauriMkuu mababu zetu Hawa kuteseka, ili tuwe wapumbavu.
👉Yaani huwezi kuwa fit mpaka kahawa??, That's how you have trained your damn mind iwe lame kiasi hicho??
huo ni uraibubtu, figure out una jitoa vipi- naweza kaa hata wiki- nika lala lisaa 1-2 tu.
👉Na masaa mengine nikawa fresh kabisa.
Aki Elewa sawa, asipo Elewa - nita muuzia Birika la kahawa😁😆Tatizo lako unakunywa kahawa ili uweze kufanya kazi zako lakini inakuathiri. Intelligent businessman amekujibu vizuri tu kwenye post zake.
Maji na limao au ndimu si una vijua??Kabla sijaanza kuwa natumia kahawa nilijipima nakuona siwezi kutuboa ikifika saa kumikumi akili inakuwa imechoka na ndo unakuta kumekucha bado vipengele vinazid kuongezeka inabid ukimbizane navyo ndo hapo nikajikuta naanza kutumia kahawa ila kwangu naona kinanikataa kuna wengine wakinywa mda wakutoka kazini wanapata usingiz fresh ila mimi ndo kasheshe ndo maana nikaja huku kuomba ushaur kama kuna namna naweza nikafanya zisinilitee athar hizo au kama kuna njia nyingine mbadala unayoona ni safe zaidi unaweza kushauri
Na ndomana nikasema kama kuna njia za kupunguza hizo side effect basi nakaribisha ushauri au kama kuna njia nyingine mbadala unaweza kunishauri itakuwa vyemaTatizo lako unakunywa kahawa ili uweze kufanya kazi zako lakini inakuathiri. Intelligent businessman amekujibu vizuri tu kwenye post zake.
Nitakuwa natokea dunia gani nisijue maji na limao au ndo matumizi ya fasihiMaji na limao au ndimu si una vijua??
Shida mkuu una jitia u much know Sana.Nitakuwa natokea dunia gani nisijue maji na limao au ndo matumizi ya fasihi
Na ndomana nikasema kama kuna njia za kupunguza hizo side effect basi nakaribisha ushauri au kama kuna njia nyingine mbadala unaweza kunishauri itakuwa vyema
Au pengine hiyo kahawa unakunywa unaweka nyingi inakuwa too strong? Labda tuambie kwenye kikombe cha kawaida cha 200mls unaweka vijiko vingapi vya ukubwa gani vya kahawa?Na ndomana nikasema kama kuna njia za kupunguza hizo side effect basi nakaribisha ushauri au kama kuna njia nyingine mbadala unaweza kunishauri itakuwa vyema
Haya sivijui unataka kusema niniShida mkuu una jitia u much know Sana.
👉Jibu lili kuwa ndio au hapana??
👉Una dhania sijui Kama una vijua??, Haya kwanini niulize hivyo🤔
Huwa naweka viwili au vitatu vijiko hivi vya chakula, kikombe kidogo cha chai nafikiri ndo hivyo 200 mlsAu pengine hiyo kahawa unakunywa unaweka nyingi inakuwa too strong? Labda tuambie kwenye kikombe cha kawaida cha 200mls unaweka vijiko vingapi vya ukubwa gani vya kahawa?
Oya endelea kumpigia mbuzi Gitaa🤒Au pengine hiyo kahawa unakunywa unaweka nyingi inakuwa too strong? Labda tuambie kwenye kikombe cha kawaida cha 200mls unaweka vijiko vingapi vya ukubwa gani vya kahawa?
Nilkuwa nakuona booonge la mtu kumbe nikilaza mmoja tuOya endelea kumpigia mbuzi Gitaa🤒
Hapana nataka kujaribu kumsaidia kama kweli yuko serious. Kwa sababu mitandao hii ina mengi!!!😂😂Oya endelea kumpigia mbuzi Gitaa🤒
We dada Ume nifanya nicheke😆😆04:24am
Tanesco mnakatwa na wachawi[emoji706][emoji706]