JamiiForums Usiku wa manane
Hapana nataka kujaribu kumsaidia kama kweli yuko serious. Kwa sababu mitandao hii ina mengi!!!😂😂
tapatalk_1573179907198.jpg
 
Huwa naweka viwili au vitatu vijiko hivi vya chakula, kikombe kidogo cha chai nafikiri ndo hivyo 200 mls

Huwa naweka viwili au vitatu vijiko hivi vya chakula, kikombe kidogo cha chai nafikiri ndo hivyo 200 mls
Unaweka kahawa nyingi mno!!! Kwenye hizi Mug za kawaida ambazo ni wastan wa 200mls weka about 5g ya kahawa or less ambayo ni around robo tatu ya kijiko KIDOGO cha chai au weka kijiko kidogo cha chai cha MFUTO not HEAP. Jaribu hivyo then lete majibu.
 
Unaweka kahawa nyingi mno!!! Kwenye hizi Mug za kawaida ambazo ni wastan wa 200mls weka about 5g ya kahawa or less ambayo ni around robo tatu ya kijiko KIDOGO cha chai au weka kijiko kidogo cha chai cha MFUTO not HEAP. Jaribu hivyo then lete majibu.
Shukran sana basi sikufikir kama nilikuwa najioverdose, ntafanya hivyo kisha ntaleta mrejesho tukijaaliwa
 
04:55
Call me crazy, but I have this vision
That one day, I walk among you
As a billionaire civilian, but until then

Let my hustle drums keep being beaten.
sweat and blood keep being spitted.
And I believe in this life, which I was once gifted.
👉 I mean no malice to nobody
 
Back
Top Bottom