JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Niko sensitive sana na caffein yaan nikinywa hata kama ni asubuh basi usiku wake lazima nikose usingizi naombeni njia ni kwanamna gani naweza kuondosha athari zake baada ya kunywa mfano mnywa pombe akinywa maji mengi na limao humpunguzia ulevi vipi kwa mnywa kahawa
 
Niko sensitive sana na caffein yaan nikinywa hata kama ni asubuh basi usiku wake lazima nikose usingizi naombeni njia ni kwanamna gani naweza kuondosha athari zake baada ya kunywa mfano mnywa pombe akinywa maji mengi na limao humpunguzia ulevi vipi kwa mnywa kahawa
Mkuu mi nadhani una jidanganya tu.
👉Usha jua we ni mjinga, then why utafute njia ya kuficha ujinga wako!?
 
Back
Top Bottom