JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Ngoja ni simplify, ushasema uko sensitive na caffeine.
👉Then why you keep drinking product zenye elements hiyo??,
Nature ya kazi zangu zinanihitaji niwe active mda mwingi nisipo pata hata kikombe kimoja cha kawaha kazi inakuwa ngumu zaidi maana akili na mwili vinahitaji kuwa active muda wote
 
That means bila kahawa, your nothing at all ??
Hapana ila siwezi kutoboa masaa mengi sometime saa tatu ya usiku inaweza kukuta bado uko kazini na hapo umeingia kuanzia saa moja asbh japo mara chache katika wiki naweza kupata hata siku moja au siku mbili za kuwa free siku nzima kipindi hichi huwa situmii kabisa zaid ya kushinda nimelala tu.
 
Nature ya kazi zangu zinanihitaji niwe active mda mwingi nisipo pata hata kikombe kimoja cha kawaha kazi inakuwa ngumu zaidi maana akili na mwili vinahitaji kuwa active muda wote
Hakuna binadamu yoyote aliyezaliwa kutoka kwenye tumbo la mwanamke akawa ACTIVE MUDA WOTE!!! HAKUNA!!! Tumeumbwa kwa damu na nyama na mifupa!!! There is no way ukawa active 24/7 from January to December!!! Pata muda upumzike.
 
Hapana ila siwezi kutoboa masaa mengi sometime saa tatu ya usiku inaweza kukuta bado uko kazini na hapo umeingia kuanzia saa moja asbh japo mara chache katika wiki naweza kupata hata siku moja au siku mbili za kuwa free siku nzima kipindi hichi huwa situmii kabisa zaid ya kushinda nimelala tu.
Mkuu mababu zetu Hawa kuteseka, ili tuwe wapumbavu.
👉Yaani huwezi kuwa fit mpaka kahawa??, That's how you have trained your damn mind iwe lame kiasi hicho??

huo ni uraibu tu, figure out una jitoa vipi- naweza kaa hata wiki- nika lala lisaa 1-2 tu.
👉Na masaa mengine nikawa fresh kabisa.
 
Hakuna binadamu yoyote aliyezaliwa kutoka kwenye tumbo la mwanamke akawa ACTIVE MUDA WOTE!!! HAKUNA!!! Tumeumbwa kwa damu na nyama na mifupa!!! There is no way ukawa active 24/7 from January to December!!! Pata muda upumzike.
Hakuna mahali nimesema nafanya kazi masaa 24 jaribu kurudi nyuma utaelewa nimeomba ushauri juu ya nini
 
Back
Top Bottom