Pekejeng
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 828
- 2,229
Pole sana nimesoma maelezo yako hapo juu nimeona nikujibu kwenye hii, labda kwa kuanza usiache kufanya mazoezi haya masaa mawili ya usingiz ni mengi ikiwa utapata ile deep sleep endelea kujizoesha hivyohivyo taratibunimejaribu, ila nikipata usingizi hauzidi masaa mawili
Pili achana na matumizi ya caffein mfano energy
Tatu epuka sana na matumizi ya electronic device wakati wa usiku unaweza kusoma vitabu kusogeza mda
Nne Tafuta google kuhusu mazoezi ya yoga yanasaidia sana na ni tiba kubwa sana katika mwili kuanzia kusaidia mzunguko wa damu mwilini na kufanya mwili na viungo ulirelax huko utaona position nzuri za ulalaji.
Pia zingatia ulaji wako usisahau na matunda
Jizoeshe kwa vitu hivyo itachukua mda kidogo ila utakaa sawa InshaAllah nimekwambia hivyo maana hata mimi nilishakuwa muhanga wa ilo
