Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,319
- 96,571
03:00 lonely in the jf usiku wa manane
Trust in this bro, hi Hakikisha ume kula- 20-30 minutes later ndo unywe maziwa na ndizi 2-3.Duuh nitajaribu, ila nyingi nimejaribu zimeshindwa, mbinu iliyofanikiwa mpaka sasa ni mitungi siku ya ijumaa na jmosi
NItajaribu leoTrust in this bro, hi Hakikisha ume kula- 20-30 minutes later ndo unywe maziwa na ndizi 2-3.
👉Utalala mnoo😄🤣
Mi Jobless pro max, that's why Sina haki ya kupata usingizi😄🤣🤣Na wewe ni mmoja wapo nini
Sema baadae😄, huwa iko active sanaNItajaribu leo
itakuwa baadae ya leoSema baadae😄, huwa iko active sana
Ukiweza pata maziwa mgando glass ile kubwaa, ndizi zilizo iva 3-4.itakuwa baadae ya leo
Hakuna mtu jobless, hata kuvuta hewa ni kaziUkiweza pata maziwa mgando glass ile kubwaa, ndizi zilizo iva 3-4.
👉Kaka UTA lala mnoo, tofauti na sisi ma jobless- hatuna usingizi 😄🤣
Kaka hiyo hewa yenyewe ni nzito, kwa huku nilipoHakuna mtu jobless, hata kuvuta hewa ni kazi
Uzito ndio kazi yenyeweKaka hiyo hewa yenyewe ni nzito, kwa huku nilipo
Dah ma bro man chukulia simple, ila ukiwa jobless- huoni hata faida ya godoro😄🤣Uzito ndio kazi yenyewe
Ila cha msingi maisha ni kupambana tu, uwe na kazi usiwe na kazi bado wote tuna Struggle mkuu. You'll get rich and have problems that you never thoughtDah ma bro man chukulia simple, ila ukiwa jobless- huoni hata faida ya godoro😄🤣
Yeah, Tena huko kwenye richness ndi msala sometimes.Ila cha msingi maisha ni kupambana tu, uwe na kazi usiwe na kazi bado wote tuna Struggle mkuu. You'll get rich and have problems that you never thought
Morning to you too03:38 AM. Good morning wana JF, weekend njema.