Odense
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,504
- 3,172
😀😀😀Nasikiliza sana hii space, majamaa wanatema sana madini.Kumbe nawe huwa una sikiliza space conversation Hiyo??.
👉Ya Jana ilikuwa wale Jamaa wakatoliki, na pentecostle😄😄
Yeah, Kuna la kuji funza😀😀😀Nasikiliza sana hii space, majamaa wanatema sana madini.
Kabisa yan.Yeah, Kuna la kuji funza
Namshukuru sana Mungu kwa kuniongoza kwenye huo usahihi. Asante kwa kunisifu b...Hadi nimetafakari ni lini umewahi kukosea? Sikumbuki.
Huwa hukosei japo ni mbishi sijawahi kuona! Lols
Usijidai kama hapo kwenye ubishi hujapaona b…Namshukuru sana Mungu kwa kuniongoza kwenye huo usahihi. Asante kwa kunisifu b...
Ova
01:3201:22 I mean no malice to nobody
Figure it out yourself 🤒01:32
We jamaa mchana upo usiku upo unalalaga sa ngapi