Heri mimi nililala zangu mapema.Arsenal inanipa pressure, tuko Emirates na bado tunaongozwa bao 2
00:45
niliamini nimefunga gate la night kali kumbe ulikua njiani mtu wa b? 🤣 🤣 🤣03:06
Missing him!
tukufe??Laleni 3:10
Bwana eeeh?niliamini nimefunga gate la night kali kumbe ulikua njiani mtu wa b? 🤣 🤣 🤣
tusameheni kidg bas 🤣 🤣Bwana eeeh?
Nimepishana na b… hapa kalala basi tafrani!
Usingizi umekata na nimemmiss sasa!
So, niponipo kidogo.
yani ivyo tu?Nakemea mapepo sumbufu
Sisi mbona hatuna shida? Ndio nimetoka kule ulipokuwepo kumbe watu wana mambo hivi humu JF?tusameheni kidg bas 🤣 🤣
🤣 🤣 🤣 acha umbea b wake mtu, ya kule yakasemewe kule kule. mdg wang Warumi alvyokua anasema mji mzito alimaanisha vingi hatukumuelewa tu 🤣Sisi mbona hatuna shida? Ndio nimetoka kule ulipokuwepo kumbe watu wana mambo hivi humu JF?
Siku zote hizi sina hata ninachokijua! Dah
Nimenyanyua mikono, naona wengine wanajileta nilipo…🤣 🤣 🤣 acha umbea b wake mtu, ya kule yakasemewe kule kule. mdg wang Warumi alvyokua anasema mji mzito alimaanisha vingi hatukumuelewa tu 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 umesema wanajileta ulipo..? tumechoka kuringishiwa tunataka kubanana mumoNimenyanyua mikono, naona wengine wanajileta nilipo…
Mi nilishastaafu maugomvi JF jamani sitaki shida na mtu!
Weeeee, waulizeni wakongwe mpewe story zangu kwa mtu huyohuyo nilivyowasuuza zamani!🤣 🤣 🤣 🤣 umesema wanajileta ulipo..? tumechoka kuringishiwa tunataka kubanana mumo
labda uniambie watu wameamua tu iwe yanini mieeeeee yanini mieeeeee. kuna Vijana hawachagui silaha ss hiv, ukizusha mnazushiana.Weeeee, waulizeni wakongwe mpewe story zangu kwa mtu huyohuyo nilivyowasuuza zamani!
Hakuna wa kuiweza vita yangu.
Ila, wala hapatikaniki yule… watasumbuka bure.
Wala sina wasiwasi, niko nae na natamba nae mwenyewe 🤣🤣🤣
Umri unakuja na hekima, ingekuwa zamani nimeshamlipua mtu huko, akha mie.labda uniambie watu wameamua tu iwe yanini mieeeeee yanini mieeeeee. kuna Vijana hawachagui silaha ss hiv, ukizusha mnazushiana.
Btw umri utuongoze tu ss hiv
Haukufi ila kwa ajili ya afya yakotukufe??
🤣 🤣 🤣 BraveheartUmri unakuja na hekima, ingekuwa zamani nimeshamlipua mtu huko, akha mie.