JamiiForums Usiku wa manane
IMG-20231230-WA0002.jpg
 
KUOMBA MSAMAHA SIO KOSA!

Mwaka umekaribia kuisha
naomba niwe wa kwanza kuliko watu wote, mimi ni mwanadamu si mkamilifu huenda kuna siku
1-Nilikusema;
2-Nilikukera;
3-Nilikuudhi;
4-Niliondoa Amani Moyoni Mwako, iwe bahati mbaya au kukusudia;
5. Nilikudanganya;
6. Niliwahi kukuharibia siku.
Kama lipo moja katika haya Naomba UNISAMEHE, tena ikiwezekana uniambie nilipokosea ili nijirekebishe na tumalize mwaka kwa upendo na Amani.
 
Back
Top Bottom