Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,238
- 90,408
Tupo mkuu ,hahahahaKwa hii baridi ya leo Dar, sidhani Kama Kuna wanandoa wenye mgogoro.
Tupo mkuu ,hahahahaKwa hii baridi ya leo Dar, sidhani Kama Kuna wanandoa wenye mgogoro.
Masharti utayaweza.?????Mwenye mganga mwaminifu aje pm,
Kuna mshenz kanilipa mabaya sana nahisi maumivu ya msiba sili silali kichwa hakipoi bila dawa.
Niitieni mganga anaeeleweka nataka nimjutishe mtu.
Kwa haya maumivu sishindwi jambo mleteeMasharti utayaweza.?????
Bao za jogoo sio3:05....bao la tano
Mpaka kukuche, cha moto nimekiona
Nitarudi baadae.
Pole mkuuMwenye mganga mwaminifu aje pm,
Kuna mshenz kanilipa mabaya sana nahisi maumivu ya msiba sili silali kichwa hakipoi bila dawa.
Niitieni mganga anaeeleweka nataka nimjutishe mtu.
Unataka umgeuze mtu remote control sio 😁😀Pole mkuu
Mi natafuta mganga wa mapenzi.....

