JamiiForums Usiku wa manane
Mimi nikamwambia “Babe, hii mechi ya kukamilisha ratiba tu” Aaaah mechi ni mechi, mara akaleta hesabu zake wale wengine wakitoka sare wao wakashinda…
Nikamuacha nikalala mie!

Ila hadi huruma masikini, wakati wenzao (Arsenal) tunashinda wao sijui walikuwa wapi?
 
Back
Top Bottom