Ha ha ha haaa... Baada ya mwaka!Hahahaaaa haki nimechekaaaaa.
Unanidanganya ili unigaragaze sio? Basi ngoja nikomae.
Nitaleta ushindani lakini, sitashindwa kijinga.
Kwahiyo majumuisho yatakuwa baada ya muda gani b…?
Ili ushinde kwa kishindo? Maana unajua muda mfupi nitakomaa ila mwaka sitoboi!Ha ha ha haaa... Baada ya mwaka!
Ova
Bado jamani, heeee!12:00 AM
mwaka ndo unaisha hivyooo....
matangazo ya punguzo la 60% lifemate furniture bado hayajaanza kurushwa?Bado jamani, heeee!
Yale matangazo ya “Msimu huu wa Krismasi na Mwaka mpya…. Inakuletea punguzo” Huku kukiwa na jingle bell background…matangazo ya punguzo la 60% lifemate furniture bado hayajaanza kurushwa?
Na matangazo ya lile roli la Coca Cola.Yale matangazo ya “Msimu huu wa Krismasi na Mwaka mpya…. Inakuletea punguzo” Huku kukiwa na jingle bell background…
Huwa nikisikia hivyo tu najua pamekucha, mwaka umeshakata.
upo mzigoni nini?View attachment 2813999
hakika leo usiku ni mrefu ndio kwanza saa 01:05
Hapana kamanda kulala bila kunywa ishaanza kuwa tabuupo mzigoni nini?
aisee, wakishua bana😂Hapana kamanda kulala bila kunywa ishaanza kuwa tabu
Mazoea tu kamanda sina ushua wowote mkuuaisee, wakishua bana😂