Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,363
- 80,179
Annajifanya demu huyoHahahaha,ushamjua sio ?
Annajifanya demu huyoHahahaha,ushamjua sio ?
I know her too ila siyo wa hivyo....pm no big noo...labda kuchamba live ndiyo yumo🤣🤣Ni ukweli huyo pm zake ninazo ila namuonea huruma kumuanika hapa
Sindano za visigino zinauma sana 😭😭😭😭😭😭
Hahahaha,sasa ataliwa kibogaAnnajifanya demu huyo
Wee miyeyusho ujue mkuu🤣🤣Huyo kaka nimemuweka ignore list mtoto wa kawe huyo
Sema unaniogopa nitakupiga spana 🤣🤣🤣🤣🤣Huyo kaka nimemuweka ignore list mtoto wa kawe huyo
Zingatia neno Popo kisha unganisha na herufi mbili za jibu ulilitoa ,hayo ndio madai ya Charles kilian kwenye stori yake ya kuchangamsha kijiwe.Macho
Mh🤣🤣I know her too ila siyo wa hivyo....pm no big noo...labda kuchamba live ndiyo yumo
Mmmmh,......dots dotsI know her too ila siyo wa hivyo....pm no big noo...labda kuchamba live ndiyo yumo
Kivp sasa huyo kabatini simtoi hata kidogo ignore listWee miyeyusho ujue mkuu
Trust me,wanawake humu twajuana...hizo sifa si zake...labda kama ameanza mambo ya pm leoMh🤣🤣
Kuna id inajifanya demu kumbe ni mwanaume hii LamomyNyie nanyi jamani usiku huu mnamteta nani??? Ambavyo sielewi hadi najihisi mnanisema mimi🤣🤣🤣🤣
Sina shida, nimetoka kubadilisha usd 250,now naenda Halloween party ,wavuvi ,ujinga wenu bakini naoMwambie akupe 🤣🤣🤣
Akiwa nazo nampa 1million cash muda huu
Kinaniogopa iko 🤣🤣🤣I know her too ila siyo wa hivyo....pm no big noo...labda kuchamba live ndiyo yumo
Kwamba huyo jamaa ni kweli wa kawe ?Trust me,wanawake humu twajuana...hizo sifa si zake...labda kama ameanza mambo ya pm leo
Alikujaga pm kuniomba eti buku 10 ya kula 🤣🤣Trust me,wanawake humu twajuana...hizo sifa si zake...labda kama ameanza mambo ya pm leo
🙄🙄🙄🙄 Aah mnanichosha bure hapa, una fegi hapo?Kuna id inajifanya demu kumbe ni mwanaume hii Lamomy
Tulewe kwanza ,mengine baadaeNyie nanyi jamani usiku huu mnamteta nani??? Ambavyo sielewi hadi najihisi mnanisema mimi🤣🤣🤣🤣
Uondoke usiku wa manane huku...umeanza uongoAlikujaga pm kuniomba eti buku 10 ya kula 🤣🤣