Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,426
......Pole sanaa aisee,naamini wife alikupumzisha mgonjwa na hekaheka🙊
......Pole sanaa aisee,naamini wife alikupumzisha mgonjwa na hekaheka🙊
Duh ! karibu uraiani mimi sijawahi kupata Ban maisha yangu yote Jf ila natamani nipate one day.🤣🤣🤣Hamna ni yule bibi faiza ndo alinishtakia ndo nikapigwa banned 😂
Ila unateseka we binti 🤣🤣🤣Mkuu ni mzee wa kawe huyo na sio demu huyo we jichanganye tu
Bado kijanaDuh ! karibu uraiani mimi sijawahi kupata Ban maisha yangu yote Jf ila natamani nipate one day.
Wazee kama hao tunawapiga taiyatuMkuu ni mzee wa kawe huyo na sio demu huyo we jichanganye tu
Kuna nini tena kipenz....umemkuta amelala mchezo hujapewa?......
Usiogope pambano mkuuKunguni mixa chawa watatuua
Huyo kuna sehemu nilimkanda aliniitia mpk mods bas mpk leo ana maumivu 🤣🤣🤣Wazee kama hao tunawapiga taiyatu
😂😂😂🙊umuoe ? Utarudi upo full kutema mate cute!😝Ila unateseka we binti 🤣🤣🤣
Njoo nikuoe bas
HahahahahaKuna nini tena kipenz....umemkuta amelala mchezo hujapewa?
Mnaishi kwa kuviziana,mkandane?Huyo kuna sehemu nilimkanda aliniitia mpk mods bas mpk leo ana maumivu 🤣🤣🤣
Achana naye
😂😂😂Hahahahaha
Kaka usitamani ni hatari sana mie nikikosa kuingia humu nakosa madili kibaoDuh ! karibu uraiani mimi sijawahi kupata Ban maisha yangu yote Jf ila natamani nipate one day.
Basi punguza hasiraHuyo kuna sehemu nilimkanda aliniitia mpk mods bas mpk leo ana maumivu 🤣🤣🤣
Achana naye
Maumivu 😭😳ulikuwa unalia maumivu au kukimbia game?🙉
MmhHuyo ni tapeli
Hana jeuri hiyo mtoto wa mama huyo, cha kulia lia😂😂😂🙊umuoe ? Utarudi upo full kutema mate cute!😝
Ni jamaa wa kawe na ni id yake hiyo ukimgusa tu matusi kama yote
Hebu fafanua vzr kwamba hiyo id ni ...Huyo ni tapeli
😂😂😂Hana jeuri hiyo mtoto wa mama huyo, cha kulia lia
Huoni ananiogopa had kaniblock 🤣🤣🤣