Winnone
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,521
- 4,146
Haya mambo msije mkaniacha pekeangu mkahamia kwenye utawala wa mark Zuckerberg
Hahahahha hatuwez kukuacha
ni wew na sisi, sisi na wewHaya mambo msije mkaniacha pekeangu mkahamia kwenye utawala wa mark Zuckerberg
ni wew na sisi, sisi na wewsijaelewa placebo imehusikaje hapo, au irizi haitakiwi kuwa na masinzi?Kuna dogo alijifanya anamashetani, akafungiwa hilizi yenye masizi ndani, baada ya wiki anadai dawa ni kiboko, amepona na kuna rafiki yake nae apewe
Dah sigusi looseball nataka mapambano aisee😅😅😅 nilikuwa upanga, lile lishangazi nilikuwa daily nalifata magomeni alafu libibi limejikoboa.. sijui lilinipa nini tu.. 😅😅.. nilikuwa hata kama sina hela natembea bila kujari hatari ya pale jangwani
hata nyayo inatosha.. 😅😅😅Kwanzia leo siongei na mwanaume 🙄🙄🙄kumbe mambo yenyewe ndyo haya...I hope huu uchawi haupiti kwenye keyboard
😅😅😅😅 hujapatwa na njaaaDah sigusi looseball nataka mapambano aisee
No, sio ya ukweli, yani walichukua tu jikoni, ye akadhani imetoka kwa mgangasijaelewa placebo imehusikaje hapo, au irizi haitakiwi kuwa na masinzi?
Ndo ndele/re? Mi sijawahi sadiki hilihata nyayo inatosha.. 😅😅😅
kwenye keyboard mzozo
. .. ila ukikubali kuonana live na mtumia dawa imeisha hiyooo.. unashtuka wakati unaenda bafuni kujiswafi 🥸🥸
Tuendelee kw pamojaHahahahha hatuwez kukuachani wew na sisi, sisi na wew
hadi ui practise.. mkuu.. nakumbuka kuna rafiki yangu mmoja tulimpaga feki.. akaenda anajiamini.. alitukanwaaa ile mbayaaa 😅😅😅😅.. zamani ilikuwa raha sanaa..Ndo ndele/re? Mi sijawahi sadiki hili
"Kausha dogo, utaumia"
Unipatie niijaribu kwa Faizafoxyhadi ui practise.. mkuu.. nakumbuka kuna rafiki yangu mmoja tulimpaga feki.. akaenda anajiamini.. alitukanwaaa ile mbayaaa 😅😅😅😅.. zamani ilikuwa raha sanaa..
bora nyeto kwa kweli
😅😅😅😅.. nimecheka kinyamaa hapa.. unataka kuvunja recordUnipatie niijaribu kwa Faizafoxy
Unipatie niijaribu kwa Faizafoxy

Hiyo itakua record kali sana, sema tunatofaitiana mengi kama DPW😅😅😅😅.. nimecheka kinyamaa hapa.. unataka kuvunja record
nilikuwa upanga, lile lishangazi nilikuwa daily nalifata magomeni alafu libibi limejikoboa.. sijui lilinipa nini tu..
.. nilikuwa hata kama sina hela natembea bila kujari hatari ya pale jangwani
ukiweza hilo, unambadilisha na mawazo.. mtaendanaHiyo itakua record kali sana, sema tunatofaitiana mengi kama DPW