JamiiForums Usiku wa manane
Madhara ya kulala saa 2… usingizi ushaisha
Simu zinatusaidia sana imagine usingizi umeisha Huna la kufanya usiku kama uko Single ndo kabisa unahisi wachawi wanakuchora kitandani huchelewi kuwasha taa on.maana hata panya tu akipita gizani unasisimka...ila ndo inashauriwa pia kutumia simu gizani unaua macho....



Me silali tena ngoma mpaka asubuhi nani alale apate jinamizi(sleep paralysis)


Nategea saa 12 naanza mazoezi kwenda beach wavuvi washavua nichukue zangu samaki wa supu saa mbili niko job kwenye WiFi and life goes on.
 
Simu zinatusaidia sana imagine usingizi umeisha Huna la kufanya usiku kama uko Single ndo kabisa unahisi wachawi wanakuchora kitandani huchelewi kuwasha taa on.maana hata panya tu akipita gizani unasisimka...ila ndo inashauriwa pia kutumia simu gizani unaua macho....



Me silali tena ngoma mpaka asubuhi nani alale apate jinamizi(sleep paralysis)


Nategea saa 12 naanza mazoezi kwenda beach wavuvi washavua nichukue zangu samaki wa supu saa mbili niko job kwenye WiFi and life goes on.
I hate sleeping paralysis 🥹 unaweza kuuchukia usingizi 🤣

Nikiishiwa usingizi kama sahivi hapa, kukaa full giza siwezi. Nawasha taa aisee.

Maisha matamu 😂😂 mnapata vitu fresh, safiii. Wengine huku mpaka samaki afike, ni kapita njiani, kawekwa kwa friza. Tafrani
 
IMG_20230927_231717.jpg
 
Back
Top Bottom