Kama kawaidaMpoooo
Nipo kbsa, ndo kwanza kumekucha sasaJana na leo
Vipi upo jj's?
Kama kawaida
Mie khali yangu iko poa sana tu mkuuNipo kbsa, ndo kwanza kumekucha sasa
Hali yako wewe?
Mie khali yangu iko poa sana tu mkuu
Sawa, ngoja nikate kulia halafu nivunje kushoto nitapasua kwa pembeni na kunyosha moja kwa moja hadi ulipo hapo![]()
hapa kwenye kona ya kushoto,nyuma
![]()
![]()
Ni?Nafurah kusikia ni
Isee....kwa mzunguko huo sidhani kama utanikuta,maana kuna jamaa amekaa hapo mbele anagawa ofa,hivyo nataka nikachangamkie fursaSawa, ngoja nikate kulia halafu nivunje kushoto nitapasua kwa pembeni na kunyosha moja kwa moja hadi ulipo hapo
