JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

kama kuoga ni usafi.. tauro lisingechafukaaa....we piga mayoweee....
Screenshot_20230906-233008.png


Intelligent businessman jipe moyo ipo siku utashindaaa.. japo wango bado wanabanaaa..... kisa kama masiharaaa..😅😅😅.... mme na mke wanapiga chaboooo... Afande alikuwa nomaaaa
 
Vinywaji vyenu vinaletwa nyumban kwa half american kuna mtu nimemuagiza analeta, ingependeza leo mpajue kwake, half american suala la umeme luku kukata kwako ulisema ilibakia unit 1 toka mwez juz unaibana bana, mtakunywa ivo ivo tu gizan hakuna namna
 
Back
Top Bottom