Usitusumbue na viingereza vyako baa hatutoki ngoo03:09 I mean no malice to nobody
Laki humu haikataliwiulivompa laki akakataa ndo nikajua ni chai
Aisee.! Sasa si ungemwambia ampe bodaboda simu uongee naeWanawake hawaaminiki mm wa kulala bila kuzagamula kisa nauli
Kama ushaanza kuona kila baamedi pisi kali nenda kalale tu mkuuUsitusumbue na viingereza vyako baa hatutoki ngoo
Mbona unakuwa mkali brooKama ushaanza kuona kila baamedi pisi kali nenda kalale tu mkuu
Omba yasikukuteAisee.! Sasa si ungemwambia ampe bodaboda simu uongee nae
Kwa jf pesa ndogo iyo, kila mwanamke humu ni independent womanLaki humu haikataliwi
Endelea kumwagilia moyo mkuu. Achana na maneno ya walimwengu. Anyway kama ramani zinasoma upande huo tupeane michongoMbona unakuwa mkali broo
"Amba" ndo kiswahili cha wapi. Bila shaka huu ni muandiko wa kvantOmba yasikukute
Tafuta milion 2.5.uje mereran ntakupokeaEndelea kumwagilia moyo mkuu. Achana na maneno ya walimwengu. Anyway kama ramani zinasoma upande huo tupeane michongo
Ninakunya safari.ila ninerekebisha kwa maagizo yako mkuu"Amba" ndo kiswahili cha wapi. Bila shaka huu ni muandiko wa kvant
Wenzie tushazoe mabint tunawaona kma kukuDahhh tuwaite wazoefu wa mashangazi mshamba_hachekwi, Mwachiluwi, National Anthem na Mzee wa kupambania 🤣😂😂
😂😂😂 mm mtoto ach kuniita mzeeNa uzee wote,kupaka ugoro Mwachiluwi Ali kugwaya😂🤣🤣
Nijute kisa 😂😂😂 vya bureeeUta Kuja kujuta 😂🤣🤣, mshamba_hachekwi ona kijana hii😂🤣🤣
Tafuta milion 2.5.uje mereran ntakupokea
Acha niendelee kupambana na mhindi nikimbutua tu nakuja
Laki tano ni uwe mkaz ww hapa .mil 2 haina haraka ni ntapoona umeshiba jua jiwe uanze fanya na mil 2 mwenyewe natoa mwaka utajiita natafuta kuajir



