JamiiForums Usiku wa manane
Habari za muda huu wakuu
Mimi ni kijana mwenye umri wa kati ya utu uzima na ujana.Tangu nikiwa mdogo nimekuwa nikipenda au kutamani wanawake walionizidi umri,hali hiyo imekuwa endelevu hadi sasa.

Kifupi tu ni kwamba sitamani wala kupenda wadada wa lika yangu,hata nikijaribu basi huwa sijiskii tena hisia huwa kwa wanawake wengine (wamama).

Nimekuwa nikiwapata pia tangu nikiwa na umri mdogo na ninainjoy sana tena nikipata maza lenye taqo na mwili yani liwe bonge hapo naachia zote.

Hoja yangu ya msingi ni je,hili laweza kuwa tatizo la kisaikolojia au ni machaguo tu na ni hali ya kawaida? (Msaada jamani)
Dahhh tuwaite wazoefu wa mashangazi mshamba_hachekwi, Mwachiluwi, National Anthem na Mzee wa kupambania 🤣😂😂
 
Habari za muda huu wakuu
Mimi ni kijana mwenye umri wa kati ya utu uzima na ujana.Tangu nikiwa mdogo nimekuwa nikipenda au kutamani wanawake walionizidi umri,hali hiyo imekuwa endelevu hadi sasa.

Kifupi tu ni kwamba sitamani wala kupenda wadada wa lika yangu,hata nikijaribu basi huwa sijiskii tena hisia huwa kwa wanawake wengine (wamama).

Nimekuwa nikiwapata pia tangu nikiwa na umri mdogo na ninainjoy sana tena nikipata maza lenye taqo na mwili yani liwe bonge hapo naachia zote.

Hoja yangu ya msingi ni je,hili laweza kuwa tatizo la kisaikolojia au ni machaguo tu na ni hali ya kawaida? (Msaada jamani)
unapenda wakuache umri kiasi gani
 
Back
Top Bottom