Shetta
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 445
- 798
Kikubwa uhai, na matajiri kutulipa Wana sema - till we die
Kikubwa uhai, na matajiri kutulipa Wana sema - till we die
Najua Sana,inawezekana, sema ni ghali... unafungiwa net ya nyaya
Kikubwa uhai, na matajiri kutulipa Wana sema - till we die
Bora hata umemuuliza wewe! Umenisaidia!!! Vichwa vingine vigumu sana kuaminimshamba_hachekwi hii Ime kaaje🤔, au nayo ni chai😂🤣🤣
Basi pamoja mkuu🤒Hahah! Wala hatujakosana mkuu... Tunasogeza muda kukuche... Si unajua tena uzi wetu huu??!
nimeiskiliza sanaI remember when they said, they don't believe in me no more
I was sleeping on the ground, on the cold floor.
Whole time I have been grinding, trying to achieve
Working night and day, no time to sleep.
👉 mshamba_hachekwi hii pen game ni 🔥🔥🔥🔥
Ee, mimi nahisi njaa hapashida ya kukesha unatamani kula kila saa😂
inawezekana, sema ni ghali... unafungiwa net ya nyaya
Hii sio ya waya, ni radio(Dish) ndogo inafungwa juu ya paa uelekeo wa mnara ulipo...wanaconnect link na converter na router ...inawezekana, sema ni ghali... unafungiwa net ya nyaya
Nime penda uandishi, representation na hata Jamaa aliye flow.nimeiskiliza sana
shingapi kuinstall hiyo transceiverHii sio ya waya, ni radio(Dish) ndogo inafungwa juu ya paa uelekeo wa mnara ulipo...wanaconnect link na converter na router ...
Ni mwendo wa kuserereka tu ...
usimlinganishe polo na hao walala hoiNime penda uandishi, representation na hata Jamaa aliye flow.
👉Sema wange mpa nasty c au Khali graph ingekuwa Mile stone
niko na mkate hapa bila kusahau chupa ya majiEe, mimi nahisi njaa hapa
Hivyo vitu siwezi, ngoja nijibembeleze. Nitavimba machoniko na mkate hapa bila kusahau chupa ya maji
Dogo flow na ball pen yao ni 🔥🔥,usimlinganishe polo na hao walala hoi
We yako chipsi na kidali🤣😂🤣Hivyo vitu siwezi, ngoja nijibembeleze. Nitavimba macho
Mkate ni lainiWe yako chipsi na kidali🤣😂🤣
GHARAMA TTCL watakuambia ni bure ukishajaza fomu na kununua vifaa vinavyotakiwa....shingapi kuinstall hiyo transceiver
hakuna mtu hapa afrika wa kulingana na polo, halina ubishiDogo flow na ball pen yao ni 🔥🔥,
bora niwatafute konnect, wao ni 400k na kituGHARAMA TTCL watakuambia ni bure ukishajaza fomu na kununua vifaa vinavyotakiwa....
Lakini ukisema Usubiri bure... Utasubiri hadi yesu anarudi...!!
Imenicost 500k + 50 ya logistics...chakula&soda... Maana walikuja kiofisi nyumbani...
Huku ni mkoani... Total 550k