Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,439
- 96,826
Hamfikii hata dax 😂🤣🤣hakuna mtu hapa afrika wa kulingana na polo, halina ubishi
flow na pen game polo anavyo
Hamfikii hata dax 😂🤣🤣hakuna mtu hapa afrika wa kulingana na polo, halina ubishi
flow na pen game polo anavyo
USI sahau kuni alika, Kwenye unboxing day😂🤣🤣bora niwatafute konnect, wao ni 400k na kitu
sema wanaanza 60k/mo
dax sio mkubwa mbonaHamfikii hata dax 😂🤣🤣
Ko chipsi ya ni ngumu ehh😂🤣🤣Mkate ni laini
Dax hayuko signed under any record label ka hawoo kina polo, hata Eminem Wana mkubali dax.dax sio mkubwa mbona
Hao niliwajaribu ni wahuni mno... Niliwapigia nearest office na nilipo...bora niwatafute konnect, wao ni 400k na kitu
sema wanaanza 60k/mo
record label haijalishi, sio mkubwaDax hayuko signed under any record label ka hawoo kina polo, hata Eminem Wana mkubali dax.
👉Ali takiwa asigniwe aka gomaa, coz he want to run his business alone.
👉
Unafikiri hizo recording label Zina kazi ipi????, Kumpush msanii.record label haijalishi, sio mkubwa
ubaya wa msanii hauhusiani na record label... nipsey hustle alitoboa mwenyeweUnafikiri hizo recording label Zina kazi ipi????, Kumpush msanii.
👉Angalia Taylor swift- album ili uza saanaa- hela aliyo kpata ndogo.
👉Ndo Mana Ali kuja kuizindua Tena kwa jina lake.
👉Michael jakson- kawa faidisha Sony sana
Ko una walinganisha dax na polo Kwenye nini 🤔ubaya wa msanii hauhusiani na record label... nipsey hustle alitoboa mwenyewe
njoo na point yenye mashiko
ninachojua polo ni mkubwa kuliko dax, flow na writing siwezi kujudge mimi ni msikilizaji wa kawaida tu siko technicalKo una walinganisha dax na polo Kwenye nini 🤔
👉Flow, writing skills au ??
Ndo mana, hapo hatuwezi bishana.ninachojua polo ni mkubwa kuliko dax, flow na writing siwezi kujudge mimi ni msikilizaji wa kawaida tu siko technical
hapo siwezi kujua, simfatilii kiivyo mpaka anavokutana na watuSema ile nyimbo, niliona kipande akichana- siku aliyo kutana na seyi vibez.
👉Bado sija ijuaa mshamba_hachekwi
mambo yao waachie wenyeweSema mshamba_hachekwi saa ya Richard mile nj Gharama kuda deki
Sbbswhmambo yao waachie wenyewe