JamiiForums Usiku wa manane
bora niwatafute konnect, wao ni 400k na kitu

sema wanaanza 60k/mo
Hao niliwajaribu ni wahuni mno... Niliwapigia nearest office na nilipo...

Inavyoonyesha wanadeal na maofisi makubwa makubwa/makampuni tu...

Wakijua ni mtu wa kawaida tu wanajivuta na simu hawapokei tena ....

Wanahisi labda utatumia miezi miwili tu then ushindwe kulipia kuendelea nao.
 
Unafikiri hizo recording label Zina kazi ipi????, Kumpush msanii.
👉Angalia Taylor swift- album ili uza saanaa- hela aliyo kpata ndogo.
👉Ndo Mana Ali kuja kuizindua Tena kwa jina lake.
👉Michael jakson- kawa faidisha Sony sana
ubaya wa msanii hauhusiani na record label... nipsey hustle alitoboa mwenyewe

njoo na point yenye mashiko
 
Back
Top Bottom