Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,455
- 96,870
Oy mshamba_hachekwi ile ngoma want it all ni 🔥🔥.
👉Taka nyingine Kali🤣😂
👉Taka nyingine Kali🤣😂
Kama unafikiri ni chai... Lete vitumbua na mabumunda tuendelee kuinywa! Kabla haijapoa....ulivompa laki akakataa ndo nikajua ni chai
JITU BANDIA Ume mkosea nini huyu dogo🤣😂😂ulivompa laki akakataa ndo nikajua ni chai
Huu mchezo haunaga hasiraa🤣😂😂Kama unafikiri ni chai... Lete vitumbua na mabumunda tuendelee kuinywa! Kabla haijapoa....
Ana dundisha kitenesi au sio🤣😂2yrs mshamba anadindisha tayari
Hahah! Wala hatujakosana mkuu... Tunasogeza muda kukuche... Si unajua tena uzi wetu huu??!JITU BANDIA Ume mkosea nini huyu dogo🤣😂😂
real life ft stormzyOy mshamba_hachekwi ile ngoma want it all ni 🔥🔥.
👉Taka nyingine Kali🤣😂
yaani dem kakupenda tu, unampa laki anakataa, anakuomba mkutane, anakununulia nguoKama unafikiri ni chai... Lete vitumbua na mabumunda tuendelee kuinywa! Kabla haijapoa....
shida ya kukesha unatamani kula kila saa😂Nipo hapa mpaka kukucheeee😂
Ko una umia mwenzio kupendwa au🤣😂😂yaani dem kakupenda tu, unampa laki anakataa, anakuomba mkutane, anakununulia nguo
hii ni ndoto
mshamba_hachekwi hii Ime kaaje🤔, au nayo ni chai😂🤣🤣Nna ngoma kali hapa naisikiliza, nilifanikiwa kuungiwa home wifi ya TTCL... kifurushi cha chini kbs ..55,000 KWA mwezi, nasererekaa tuu...niwawekee, !?
japo niko mkoani ila ina kasi hatareee!
Kikubwa uhai, na matajiri kutulipa Wana sema - till we die🤒Lindo linakwendaje
inawezekana, sema ni ghali... unafungiwa net ya nyayamshamba_hachekwi hii Ime kaaje🤔, au nayo ni chai😂🤣🤣