Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 21,709
- 51,134
02:2902:12
02:2902:12
sijawahi kupata soulmate kwahiyo naonaga everything is transactional😅Muhimu ni kubalance mambo👌
karibu lindo02:29
hatuyawezi mkuu tutimize tu wajibu wetu wa kutoa hela na kuchakataAfu upwiruu wake unaenda wap unadhani
Yani unatoa hela na yy anaenda zitoa ili aridhishwe
Kama ni ivo huwezi kuelewa😂😂😂😂😂sijawahi kupata soulmate kwahiyo naonaga everything is transactional😅
Ni kweli ila ukimpeleka Kilimanjaro anarizika na kila hali mnayokuwa nayoNdani ya nyumba mambo hayaelewekagi, we unampa moyo mwenzio anataka kichwa
Ukisema umpe kichwa anabadilisha gia anaenda tafuta bank..
Muhimu ni kubalance mambo![]()
Sasa unakosaje vyote? Tafuta kimoja cha kujitetea😂😂😂😂Ni kweli ila ukimpeleka Kilimanjaro anarizika na kila hali mnayokuwa nayo
Ss kosa hela na usiwe unampeleka Kilimanjaro utafurahi
Ndege hutua mti aupendao, ila wewe naona unataka kutua airport😂😂😂😂ipo siku
ila naona kama haiji😂
Kimoja ndo hicho tumesema tupambane na mazoeziSasa unakosaje vyote? Tafuta kimoja cha kujitetea
Hapo ndo utajua kwann maskini hafirisiki..
yaani unamaanisha nachagua sana??😂Ndege hutua mti aupendao, ila wewe naona unataka kutua airport😂😂😂😂
Kuna mtu sasa ivi anaomba kimoja tu😂😂😂😂3:00 AM
kuna mtu kiherehere cha kufuata hela geto kinamtokea puani saivi
Poor Brain anapata tabu sana😂Kuna mtu sasa ivi anaomba kimoja tu😂😂😂😂
Simoo😑😑😑😑Poor Brain anapata tabu sana😂
Na kuna sisi tumekodolea macho simu zetuKuna mtu sasa ivi anaomba kimoja tu![]()
Eeh kuna nyie pia😂😂😂😂Na kuna sisi tumekodolea macho simu zetu
amani moyoni lazima ihusike😋Huku ni ❄ ❄ 😨😨😨😨😨😨View attachment 2679652
Eeh na kuna sisi 3 hapaEeh kuna nyie pia![]()