Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Hahaha sawa bhana najua janja yote hii unakwepa kunifundisha wacha tu nibaki na tongotongo langu.![]()
usinichonganishe na mwl.wako jje's asije akanipa kesi ya kumnyanganya mwanafunzi wake

Hahaha sawa bhana najua janja yote hii unakwepa kunifundisha wacha tu nibaki na tongotongo langu.![]()
usinichonganishe na mwl.wako jje's asije akanipa kesi ya kumnyanganya mwanafunzi wake

Kwahiyo macho yako yanaona balimi tu,vyuma vilivyokazwa kwangu hayavioni?Hahaha unaweza kuwa na macho lakini kipofu![]()

Tatizo akili yako ni nyembamba haijajua methali ndio maana huwa huelewi misemo ya wahenga.![]()
![]()
![]()

Cc Thadlikkle muore
Kwahiyo macho yako yanaona balimi tu,vyuma vilivyokazwa kwangu hayavioni?![]()
![]()

Ujue mimi sijawahi kushtakiwa....mwl.wako hatashindwa kutumia ada yote uliyomlipa ili kunishtakiHahaha sawa bhana najua janja yote hii unakwepa kunifundisha wacha tu nibaki na tongotongo langu.![]()
![]()

Karibu umenigomea haswaaaAisee,ngoja nije tulazane maana naona nawe umekugomea mkuu
![]()
![]()
![]()
Ngoja niendelee kusubiri akili ziwe nene huenda nitaanza kuwaelewa![]()
siku zikinenepa uniite nizishuhudie maana sijawahi kuona akili nene tangu nije hapa dunianiHahaha acha uoga bhana, mimi sina mwalimu mwingine zaidi yako, na wala hatotokeaUjue mimi sijawahi kushakiwa....mwl.wako hatashidwa kutumia ada yote uliyomlipa ili kunishaki![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
siku zikinenepa uniite nizishuhudie maana sijawahi kuona akili nene tangu nije hapa duniani


Basi sawa,ila tukubaliane kabisa,utalipa ada au utaniletea stori za elimu bure?Hahaha acha uoga bhana, mimi sina mwalimu mwingine zaidi yako, na wala hatotokea![]()
Niko tayari kupambana na mashtaka yote yatakayotokana na hilo.![]()
Cc My Teacher to be
Nimezishuhudia kwako tu![]()
![]()
Aisee ila nyembamba ushazishuhudia sio![]()
Hahaha mimi sio muumini wa elimu bure kabisa, mimi ni muumini kindakindaki wa "Elimu Bila Malipo"Basi sawa,ila tukubaliane kabisa,utalipa ada au utaniletea stori za elimu bure?
Duuh, ila teacher najua unanichukia ila ndo nini kunivua mavazi yote ya nje na ndani hadharaniNimezishuhudia kwako tu

Hahaha mimi sio muumini wa elimu bure kabisa, mimi ni muumini kindakindaki wa "Elimu Bila Malipo"
Njoo nikuoneshe shule nzuri itakayokufaa kwa undakindaki wako huo......Naona umetoa kauli ya kisiasa![]()
![]()

Nihurumie asu wangu....Duuh, ila teacher najua unanichukia ila ndo nini kunivua mavazi yote ya nje na ndani hadharani![]()
Jitaje tu,hakuna atakae kusikia wote wameshalala!![]()
![]()
![]()
Ila haya matamko yanafanana fanana na ya Bundi mmoja mchochezi hapa kilingeni (sijataja mtu)![]()
![]()
Njoo nikuoneshe shule nzuri itakayokufaa kwa undakindaki wako huo......
Ukiona elimu gharama,jaribu ujinga
