Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,299
- 9,798
kuna vitoto yelloww pale aisee ni balaa😋Mtumie aende hata city😂😂😂
Chino wan man 🤣🤣🤣Upitilize shaaa saa 3😂😂😂
Nilikua na wanangu kina chinooooo.... 😂😂😂😂Chino wan man 🤣🤣🤣
Naweza pitiliza.. ila lazima iwe within saa 1 na siwezi zidi moja na nusu. Akili ishazoea
Nasikiliza nyimboMbn mapema mrembo
september conference😬Tumetoka batani ehee![]()
Tumetoka usingiziniNilikua na wanangu kina chinooooo.... 😂😂😂😂
pole mzee kwa kunyimwa😬Ndoa ni sanaaa
Onesha ufundi😂😂😂😂Ndoa ni sanaaa
tumefuliaaa....Nikawa na wanangu kina Mshambaaa
Tumechill uzi wa usiku wa manane
Upo huo... Kibena huku ukileta ufundi unaganda 🤓🤓🤓🙌🙌🙌Onesha ufundi😂😂😂😂
ndio mzee....Ndoa ni kikundi cha masela. Waliojiona wamekua 🤓🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌🙌
Ndoa ni ngumu jamani
Ndoa si drama mbele ya watu wengi
Weee acha tuuu....pole mzee kwa kunyimwa😬
Ayiiiiiii badiiiiitumefuliaaa....
leo tumeshindia mihogo, show kali😂
Weee acha mambo ya hovyo OA acha kuzini 🤓🤓🤓🙌🙌ndio mzee....
ndio maana nasisitiza vijana wakatae ndoa, pia wasizae watoto
Hata wiki haijaishaa? We jamaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwan dronedrake hakukusisitizaa..??Ndoa ni kikundi cha masela. Waliojiona wamekua 🤓🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌🙌
Ndoa ni ngumu jamani
Ndoa si drama mbele ya watu wengi