JamiiForums Usiku wa manane
Gharama za kuhudumia hizo pisi mimi sina mkuu bado nategemea wazazi kuanzia kila kitu sizani kama hayo majukumu ya kwenye process za dating kama nitazianza
Oky oky, usome sasa mengine achana nayo kama hata kutengeneza urafiki kunahitaji pesa, bado sana😂😂😂
 
Duuuh Weee janja unahitaji Twiti kabisa tena la Kiombo au Mgote.
Mbona watu tumeishi na pisi kali zaidi ya Miaka 10 sasa na hatuna hata jero na tukiitaka tu inaletwa chapu na Wanaamini tutawaoa.
BASI wewe mzoefu wa haya mambo hasa kuwalaghai mabinti za watu but kumbuka laana zitakutafuta kwanini uzini na watu kwa kisingizio cha kuwaoa halafu hamwaoi
 
We bdo unaishi mtandaoni. chukua hii ( hbari za kweli mtaani blogs ni fake)
Uyu tumwombee Upedeshee tu vinginevyo hatoboi hasa hizi Relation za siku hizi. Huna pesa ya kumridhisha mwanamke ni Mikakati tu itakuweka Pazuri.
 
Back
Top Bottom