Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,734
- 3,310
[emoji23][emoji23][emoji23] BASI wewe mzoefu wa haya mambo hasa kuwalaghai mabinti za watu but kumbuka laana zitakutafuta kwanini uzini na watu kwa kisingizio cha kuwaoa halafu hamwaoiDuuuh[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Weee janja unahitaji Twiti kabisa tena la Kiombo au Mgote.
Mbona watu tumeishi na pisi kali zaidi ya Miaka 10 sasa na hatuna hata jero na tukiitaka tu inaletwa chapu na Wanaamini tutawaoa.