Dahan
JF-Expert Member
- Oct 26, 2022
- 2,743
- 6,283
Anachimba chumviii😂😂😂😂Uvinza kuna nini uko tena usiku km huu ?! 😆
Anachimba chumviii😂😂😂😂Uvinza kuna nini uko tena usiku km huu ?! 😆
Hya mambo ya kula chumvi zamani ilikuwa heshima lazma uamkiwe lkn siku hizi vjana na kula chumvi huwambii kitu isipokuwa sisi wachacheYuko uvinza huko😂😂
Kumbe JIBU unalo sasa we raia wa kawaida ukaoe mke magereza unatarajia nini wakati hua wanachaguana kwenye PAREDI magereza mke magereza mume equalization ipo hapo usiulize tena swaliSi sheria ila ni vipendeleo vya waliowengi ili kuendana na Utaratibu wa kazi.
Kudaaadeq hivi unazungumzia uvinza ya wapi asee ?! 😃Anachimba chumviii😂😂😂😂
Eeegh kunini ?!04:21
Nimetoka kususu
Hio ngoma gani ya mwaka upi ?!Leo mpaka nione Jua, Bebi sitoki humu Nikki Mbishi anakwambia mtanikita smoking room.
KukojoaEeegh kunini ?!
MaamaeKumbe JIBU unalo sasa we raia wa kawaida ukaoe mke magereza unatarajia nini wakati hua wanachaguana kwenye PAREDI magereza mke magereza mume equalization ipo hapo usiulize tena swali

Toka nje ukaloe kidogo utaelewaa how most cloud it isMostly cloud kiaje wakati nje kuna mvuaView attachment 2660057
Aseee kukojoa mwenyewe au kuna alikukojolesha ?! 😄Kukojoa
Ya uvinza😂😂Kudaaadeq hivi unazungumzia uvinza ya wapi asee ?! 😃
Nyoosha maelezo tuelewe umekojoa kiajeKukojoa
NimesusuuNyoosha maelezo tuelewe umekojoa kiaje
Muda bado dada😂Mliopo club tokeni mrudi kulala
Mwenyewe 😁Aseee kukojoa mwenyewe au kuna alikukojolesha ?! 😄