JamiiForums Usiku wa manane
Kumbe ikifika mida kama hii mnaongeaga mambo ya ajabu ajabu 😂😂😂🙏
hii timu ya
To yeye
Half american (kiongozi)
Dahan
mshamba_hachekwi (kanafata mkumbo)
masai dada (chipukizi)
Vijana wa daslam hovyo kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ngoja waje wale wa no malice..... Sijui nao hovyo waki ongozwa na Intelligent businessman
I mean no malice to nobody, Naomba tukemee kwa maombi Poor Brain, mshamba_hachekwi, Dahan, masai dada
FB_IMG_16849196940148177.jpg
 
Hamna, yalianza kuuma tangu nikiwa darasa la tatu nikaanza kutumia miwani kuanzia hicho kipindi mpaka nilivyofika form two nikaacha maana nilikuwa sipendi kutumia miwani. Naona sasa hivi yanarudi kwa kasi( yanatoka machozi😔)
Pole sana aiseeee......
Sasa hapo kula sana mchemsho wa mboga za majani yaani per week utaona mabadiliko
 
Back
Top Bottom