Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Hosp wamekuacha salama na azuma?Kinabana, napumua kwa tabu
Naona wote this time ni mwendo wa azuma na malimao
Hosp wamekuacha salama na azuma?Kinabana, napumua kwa tabu
Haijanisaidia hata kidogo my wanguHosp wamekuacha salama na azuma?
Naona wote this time ni mwendo wa azuma na malimao
Doh 🥹Haijanisaidia hata kidogo my wangu
Nataka nirudi hospital tenaDoh 🥹
Pole sana my wangu.
Me last month nilipata cha nimonia, nikapewa hizo azuma ‘huko nyuma nikikuwaga sijawahi zitumia hizo dawa.
Kwenda kutumia vikanishinda ule ukubwa wake 😂😂
Nikarudi hosp nikasema zile dawa siziwezi, nikaandikwa sindano 3.
Last week kuna pipo 2 nazo.. kifua, mafua kikohozi. Wamepewa azuma
Ulifika hosp? Dr alisikiliza kifua? Ukute ni nimonia af unaitibu km kifua cha kawaida lzima dawa ikatae
Ugua poleNataka nirudi hospital tena
TAMU hiyo. Ukute mmeamka mka piga mswaki kabisa halafu mmeshaenda kukojoa na mama ameipiga maji na kujifuta vizuri.
Mimi hua naacha Ile Cha usiku nikisubiria hiki Cha swala swala..
we jamaa ni specialist wa hii sectorHahaha mimi nipo naendelea kupiga matukioNachimba chumvi tu😂😂,
Oyaa oyaa mzee baba National Anthem kumekucha mwanawane. Roho begani panga mkononi 😅Mzee wa kupambania waaaaapi muzeeee weyeee 😊😊
Pole Sana natumaini unaendelea vyema, vipi hali yako kwa sasa?Kifua rafiki angu
Nahema kwa tabu kitandani hakulaliki niko sitting room nimekaa
Niko hospital nisije kukufa burePole Sana natumaini unaendelea vyema, vipi hali yako kwa sasa?
Kufa ufi ila ndio Kama vile kuteseka na kukosa usingizi, ugua pole mamyNiko hospital nisije kukufa bure
AsanteeKufa ufi ila ndio Kama vile kuteseka na kukosa usingizi, ugua pole mamy
mnalala sana nyie matajiri wa wizi 😅😅😅Oyaa oyaa mzee baba National Anthem kumekucha mwanawane. Roho begani panga mkononi 😅
Shida tunakesha sana kupiga matukio 😅😅😅 kuna mali mpya LG flat skrini inch 55 vipi nikucheki? 😄mnalala sana nyie matajiri wa wizi 😅😅😅
Sera zetu 👉 Panga mkononi