Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,415
- 30,132
Nimekunywa azithromycin dose imeisha, nimekunywa centrizine hizo tangawizi ndo usisemePole sana, umetumia dawa gan mpendwa katika bwana?
Nimekunywa azithromycin dose imeisha, nimekunywa centrizine hizo tangawizi ndo usisemePole sana, umetumia dawa gan mpendwa katika bwana?
Ntumie tu hela nikanunue mpaka ulete utachelewakaribu sana Rafiki.. dawa zipi nkuletee?
Nimekunywa azithromycin dose imeisha, nimekunywa centrizine hizo tangawizi ndo usiseme
.. Achana na antibioticsYaani nainywa tangawizi hadi sio poa 😀😀Dawa yako ni tangawizi and malimau.. Achana na antibiotics
😀😀😀😀😀😀😀😀Chukua hiyo
![]()
Yaani nainywa tangawizi hadi sio poa![]()
Nakunywa ya kuchemshaUnajua kuiandaa??
Nakunywa ya kuchemsha
Nakunywa ya kusaga
Labda kama kuna maandalizi mengine nigaie
Kifua bado kinavuta ?Nimekunywa azithromycin dose imeisha, nimekunywa centrizine hizo tangawizi ndo usiseme
Kinabana, napumua kwa tabuKifua bado kinavuta ?
😀😀😀😀asubuhi nakupigia unipe darasaUnahitaji private class
Sasa nikupe dawa ya mtishamba, sijui utaiwezaKinabana, napumua kwa tabu
TAMU hiyo. Ukute mmeamka mka piga mswaki kabisa halafu mmeshaenda kukojoa na mama ameipiga maji na kujifuta vizuri.04:13 am … round ya mwisho ..