mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,284
- 71,962
umempata kwenye ndoa, au hizi za ghaflaghaflaMbona na mtoto wa miezi sit sasa
umempata kwenye ndoa, au hizi za ghaflaghaflaMbona na mtoto wa miezi sit sasa
No nimetoa mahali bado ndoa ila yeye Anakaa mkoani kikaziumempata kwenye ndoa, au hizi za ghaflaghafla
na kwenye ajira uko vizuri au ni dalali kweli....No nimetoa mahali bado ndoa ila yeye Anakaa mkoani kikazi
Sina ajira wala sio dalali ni chawana kwenye ajira uko vizuri au ni dalali kweli....
aha kijana mdogo pengine bado unaona nafanya utani ila zingatia sana, usikurupuke kuoa na kupata mtoto, hili jambo nimeweza kujifunza sio kwa yaliyonikuta tu, bali na hata wazee wenzangu ninaowafahamu. Chukua muda, tafakari, chagua vizuri mke, na usichoke kujitafuta kiuchumi.....Sina ajira wala sio dalali ni chawa
My hobbies and fantasy 👉kwahiyo kijana mdogo Intelligent businessman mbussu huchakati kabisa....
Kumbe ulipigwa na kitu kizito 😀😁aha kijana mdogo pengine bado unaona nafanya utani ila zingatia sana, usikurupuke kuoa na kupata mtoto, hili jambo nimeweza kujifunza sio kwa yaliyonikuta tu, bali na hata wazee wenzangu ninaowafahamu. Chukua muda, tafakari, chagua vizuri mke, na usichoke kujitafuta kiuchumi.....
labda pengine nikushauri kijana, kwa umri wangu huu wa miaka 56 sasa, naona na naamini kabisa kufanya ngono kabla ya ndoa ni sahihi, ikiwa unatumia kinga. Ni vizuri ukajizoesha mambo ya ngono, hata hivyo ni zoezi lenye tija nyingi kwenye afya yako ya mwili na akili....My hobbies and fantasy 👉
👉Movie, music, games
👉Books, eating foods
kijana wangu maisha hayatabirki, kuna msemo nimeupenda sana unaweza kukusaidia, unasema 'do the next right thing' nadhani hapo utakua umenielewa vizuri kijana wangu....Kumbe ulipigwa na kitu kizito 😀😁
tani upi? Naoa mwezi wa sabaaha kijana mdogo pengine bado unaona nafanya utani ila zingatia sana, usikurupuke kuoa na kupata mtoto, hili jambo nimeweza kujifunza sio kwa yaliyonikuta tu, bali na hata wazee wenzangu ninaowafahamu. Chukua muda, tafakari, chagua vizuri mke, na usichoke kujitafuta kiuchumi.....
kijana nikutakie usiku mwemaU
tani upi? Naoa mwezi wa saba
Club 🎶Kuna Nini huko tena entebe;?
Dogo Nina age ya 73kijana wangu maisha hayatabirki, kuna msemo nimeupenda sana unaweza kukusaidia, unasema 'do the next right thing' nadhani hapo utakua umenielewa vizuri kijana wangu....
miaka 37 bado hujaona mengi kijana....Dogo Nina age ya 73
aisee kijana nimeshindwa kulala hapa, shingo inauma.... hebu nieleze kidogo kuhusu hii ndoa yako tusogeze muda niweze hata kukushauri kijana wanguU
tani upi? Naoa mwezi wa saba
tunasubiria uzi wako MMU kesho asubuhiMimi ndo kwanza kumekucha,wife kaparamia sms isiyohusiana na ukwel, (asiye mchepuko) wamerushiana matusi kwa sms kashndwa kuvumilia yupo kunibwatukia hapa na kujifungasha