JamiiForums Usiku wa manane
Ase na mim na wachapia
ukioa pasi kua na pesa ya kutosha utajutia maisha yako yote, mke wangu wa kwanza nilikurupuka tulifunga ndoa nikiwa bado siko vizuri, miaka ya mbeleni alikua akinifanyia vituko vingi, hadi kunisema kwa baadhi ya rafiki zake..... Sikushauri mdogo wangu, tulia kwanza ujitafute.....
 
ukioa pasi kua na pesa ya kutosha utajutia maisha yako yote, mke wangu wa kwanza nilikurupuka tulifunga ndoa nikiwa bado siko vizuri, miaka ya mbeleni alikua akinifanyia vituko vingi, hadi kunisema kwa baadhi ya rafiki zake..... Sikushauri mdogo wangu, tulia kwanza ujitafute.....
Mbona na mtoto wa miezi sit sasa
 
Back
Top Bottom