JamiiForums Usiku wa manane
Unajua natamani kufanya mema lakini nakutana na hii changamoto aliyoisema Paulo katika Waroma 7:19 kila siku ninasali sana Mungu anisaidie niishinde hii hali

Waroma 7:19 BHN​

19. Yaani, badala ya kufanya lile jambo jema ninalotaka, nafanya lile baya nisilotaka.
Wakati mwingine Mungu hujitwalia utukufu kupitia madhaifu yetu
 
Nina mpango wa kufanya Lindo langu ndani ya T1 usiku wa manane hivi karibuni, lengo lake ni pamoja na kuondoa bajaji zote kile kipande cha T1 pale Mbeya, na zile blue lights zao zote zitazotoa na mijeledi juu kwa wahusika, then nitahamia Kitonga Pass, pale IT drivers wote wanaoendesha na full lights muda wote nitawasukumizia bondeni, Fuso zote zenye blue lights na orange lights nitazichoma moto, blue lights ni kwa POLICE TU NA ORANGE NI KWA EMERGENCY SERVICE TU,lini nitafanya hivi tutapeana taarifa soon, maana mkuu wa traffic nchini amelala usingizi wa pono, hizi check points hasa Sanga Sanga na Ruaha darajani nimeshaanza kuzitafutia ushahidi yaani ule water tight, zinanuka mno
 
Back
Top Bottom