JamiiForums Usiku wa manane
Nimesoma Zaburi ya kwanza.

Mzee wa kupambania ni swala mda tu, ataacha hayo mambo
Unajua natamani kufanya mema lakini nakutana na hii changamoto aliyoisema Paulo katika Waroma 7:19 kila siku ninasali sana Mungu anisaidie niishinde hii hali

Waroma 7:19 BHN​

19. Yaani, badala ya kufanya lile jambo jema ninalotaka, nafanya lile baya nisilotaka.
 
Mkuu ibada umemaliza Mkuu , na je umesoma zaburi 23: SUV

Naomba umtafute mzee wa hizi Kazi Mzee wa kupambania ili aokoke na AOE ili amtumikie Mungu.
Napambana sana ndugu yangu kuacha maovu si rahisi ila haya maneno ya Mtume Paulo yananipa ujasiri kuwa nitaweza

Wafilipi 4:13​

13. Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
 
Back
Top Bottom