JamiiForums Usiku wa manane
DakuView attachment 2573501
Mie.
View attachment 2573502


Annie mie...sina chunusi wala harara
Leoooo MUNGU ameniooona
Nakubusu
Screenshot_20230402-104623.png
 
Family is all about family, kwani akiwa na mtoto kuna ubaya. Eti madam Bantu Lady, Dahan, Johnnie Walker, National Anthem, stow away, Mzee wa kupambania 🤔🤔
Issue kupata mwanamke, ukikuta kijana ana jadiri au kutumia kigezo kuwa kaisha zaa au bado hujui bado huyo hajakomaa. Kuna wanawake wamezaa ni bora mala 1000 ya ambao hawajazaa.. tatizo vijana siku hizi wanatekwa na hisia na tamaa zaidi na wanajikuta wanakosa vilivyo bora.. unakuta alie zaa ndio mke ulie kusudiwa kabla hujazaliwa na unakuta alizaa kwasababu wewe ulichelewaaa 😅😅😅
 
Back
Top Bottom