Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,418
- 96,773
Nimependaa Sana hi💪💪😍, ishi Sana mwizi mwenzaguIssue kupata mwanamke, ukikuta kijana ana jadiri au kutumia kigezo kuwa kaisha zaa au bado hujui bado huyo hajakomaa. Kuna wanawake wamezaa ni bora mala 1000 ya ambao hawajazaa.. tatizo vijana siku hizi wanatekwa na hisia na tamaa zaidi na wanajikuta wanakosa vilivyo bora.. unakuta alie zaa ndio mke ulie kusudiwa kabla hujazaliwa na unakuta alizaa kwasababu wewe ulichelewaaa 😅😅